HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Thursday 13 April 2017

Picha: Hili ni gari la kifahari analomiliki Diamond

Baada ya kumiliki mjengo mkali Afrika Kusini wenye thamani ya zaidi milioni 400, Diamond amewashtua mashabiki wake kwa ile inayowezekana kuwa ni ndinga yake nyingine anayoimiliki nchini humo alipoijenga Madale yake.
Muimbaji huyo ameweka picha za gari hilo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika ujumbe ambao unaonyesha gari hilo ni mali yake.
Kupitia mtandao huo, Diamond ameandika, “Jus decided to get this for my south africa’s up and downs trip…..👍 #SideChick.”

🏡 🚗 @zarithebosslady kidogo changu mimi nawe, kikubwa cha Barabuu… Mali zao zisifanye upagawe ukaniweka Roho juu…. so proud to have you mama, tukutane kwenye kuliwakilisha Taifa kwenye Mashuka leo😊 @zarithebosslady 💞,” ameandika kwenye picha nyingine aliyoiweka kwenye mtandao