HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 3 December 2016

Mastaa wa Bongo wenye magari ya Kifahari zaidi 2016




Bombardier 3 mpya za Air Tanzania mbioni kutua nchini


Kampuni ya ndege ya Bombardier inatarajia kuzileta ndege tatu mpya kwaajili ya shirika la ndege la Tanzania, ATCL, imefahamika.
cwynnlrucaacozw
Ndege hizi mbili ni aina ya CS300 na moja ya Q400. Ndege hizo zina thamani ya dola milioni 203.
Mwishoni mwa Septemba mwaka huu, Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli aliahidi kununuliwa kwa ndege zingine mbili kubwa kwaajili ya shirika la ndege la Tanzania, ATCL.
Alitoa ahadi hiyo wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa ndege mbili mpya za kwanza kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.
Ndege hizo ni aina ya Bombadier Q 400 zilizotengenezwa nchini Canada.
Alisema ndege mbili kubwa zitakazonunulia hapo baadaye zitakuwa na uwezo wa kubeba abiria 160 na nyingine kubwa zaidi itakayobeba abiria 240 pamoja na mizigo yao. Aliwahakikishia Watanzania kuwa fedha za kununua ndege hizo zipo.
Ndege za sasa zina uwezo wa kubeba abiria abiria 76, 6 wakiwa daraja la juu na 70 ni daraja la chini

Friday 2 December 2016

Picha,Mwanaume mwingine kachora tattoo ya jina la Shilole ubavuni….shishi

shilole-12


Wapenzi wa Shilole wanashindwa kujizuia kuchora jina lake kwenye sehemu tofauti ya mmili yao. Kama unakumbuka staa wa Bongo Fleva #NuhMziwanda alichora tattoo zaidi ya moja kwaajili ya Shilole ila baadae walitengana na Mziwanda kufunga ndoa.
This Time ni huyu kujana ambaye mpaka sasa haijajulikana ni nani ila amejichora tattoo ya jina la Shilole kwenye ubavu wake.
Picha hii ilikuwa kwenye IG ya Shilole na ujumbe uliosema Maswali stakiiiiii????”
shilole-12

PICHA : China wameanza kuitengeneza meli inayofanana na TITANIC

kkkkk

Meli ya Titanic iliyojengwa na Harland na Wolff huko Belfast, iligonga mwamba wa barafu na kuzama Kaskazini mwa Atlantic mwaka 1912 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 1,500 ilikuwa katika safari yake kutoka Southampton ikielekea New York.
Leo ikiwa ni takribani miaka mia na nne ‘104’ imepita tangu meli hiyo izame, China wameamua kujenga meli inayofanana na Titanic, habari kuhusu meli hiyo imewashangaza raia wengi wa China baada ya ujenzi huo wa meli hiyo yenye urefu wa kina cha mita 269  kuanza.
Meli hiyo ya China, itakuwa yenye umbo sawa na ile ya Titanic, itakuwa na sehemu ya michezo, maonyesho, kuogelea na sehemu maalum ya watu maalum ambayo itakuwa na mtandao wa Wifi na inatarajiwa kuwa kivutio kikubwa katika eneo hilo la theme park lililoko kilomita kadhaa kutoka pwani ya China.
3ae2be1700000578-3987472-image-m-5_1480542821761 3ae2be7800000578-3987472-image-m-6_1480544007987-1 3ae2bf2400000578-3987472-image-m-4_1480542777300
kk
Meli ya Titanic mwaka 1912 ilipokuwa ikifanya ikitoka Southampton ikielekea NewYork
kkkkk
Ujenzi huo wa meli hiyo yenye urefu wa kina cha mita 269, itawekwa katika hifadhi iliyoko mashambani, katika mkoa wa Sichuan

29591a1300000578-3110674-image-a-2_1433411971198
Chakula kitakachotolewa kwenye meli hakitatofautiana na kile ambacho kilitolewa Meli ya Titanic 1912
29591a3200000578-3110674-image-m-5_1433412051272
.
2959190100000578-3110674-image-a-3_1433411975748
Chumba cha gharama zaidi kitakuwa ni Yuan 100,000 , sawa takribani Tsh 31,521,912
29591a0000000578-3110674-image-a-9_1433412090567
Source: Daily Mail, CNN
PART 1: Mfungwa mtanzania aongea kwa simu kutoka gerezani China, Bonyeza Play hapa Chini kusikiliza

PICHA : Magari yanayotumia umeme yanayotengenezwa China

161202092142-next-ev-7-exlarge-169
Tunafahamu kuwa teknolojia inakuwa kila siku hasa katika nchi zilizoendelea ambapo China ni moja ya nchi hizo, Headlines zimetolewa na kituo kikubwa cha habari CNN kuripoti kutengenezwa kwa magari next level na kampuni ya NextEV ya China ambapo ni magari yanayotumia umeme na sio mafuta kama ilivyozoeleka.
Magari hayo yanatumia battery ambazo zinachajiwa na umeme na kukaa na charge ndani ya muda fulani na kutajwa kama magari yenye speed kubwa yanayotumia umeme kuliko yote duniani na kutegemewa kuingia sokoni hivi karibuni , nakusogezea picha za magari hayo hapa chini ujionee.
161202090402-next-ev-11-exlarge-169
Ferrari Laferrari
161202090413-next-ev-10-exlarge-169
McLaren’s P1
161202090456-next-ev-9-exlarge-169
Porsche
161202091900-next-ev-8-exlarge-169
Qiantu
161202092142-next-ev-7-exlarge-169
Qiantu
161202092218-next-ev-6-exlarge-169
TechRule’s AT96 TREV
161202092901-next-ev-3-exlarge-169
BAIC ArcFOX-7
161202092932-next-ev-2-exlarge-169
NIO EP9
161202093032-next-ev-1-exlarge-169
NIO EP9
VIDEO: Idadi ya magari yanayotumia private number Arusha imetajwa, Bonyeza Play hapa chini kutazama

Monday 28 November 2016

New Video: Azma Mponda f/ Belle 9 – AstaraVaste



Video ya wimbo mpya wa rapper Azma Mponda aliomshirikisha Belle 9, AstaraVaste (I am in Love). Video imeongozwa na Kevin Bosco Jr

New Video: Dj Maphorisa x Wizkid – Good Love




Dj Maphorisa na Wizkid wameungana tena kwenye wimbo wa pamoja, Good Love. Umetayarishwa na Nana Rouges huku video ikiongozwa na Sesan Film Factory.

UFAFANUZI: Kuhusu kauli ya Waziri Ndalichako kwa wanaojiunga Vyuo Vikuu


Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekanusha taarifa zilizoenea ya kuwa, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amezuia wanafunzi wenye Stashahada (Diploma) kujiunga na masomo ya Shahada (Degree) katika vyuo vikuu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Naibu Waziri wa Elimu, Mhandisi Stella Manyanya amesema kuwa, katazo lililotolewa na Waziri Prof. Ndalichako siku ya mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania linawahusi wale tu wanaosoma Foundation Courses ili kuweza kujipatia sifa za kujiunga na chuo kikuu.
Taarifa imeeleza kuwa awali wanafunzi ambao walifeli kidato cha nne walikuwa wakisoma Foundation Courses katika vyuo mbalimbali na kisha kujipatia sifa za kujiunga na chuo kikuu kitu ambacho waziri alisema sasa hakitakuwepo tena.
Utaratibu huu ulikuwa ukitumika zaidi katika Chuo Kikuu Huria ambapo wanafunzi walikuwa wakisoma programu maalum zilizokuwa zikiwapa sifa ya kusoma Shahada.
“Kilichojitokeza ni kuna taarifa zinasambaa kwamba kuanzia sasa wanafunzi watakaoenda chuo kikuu ni wale ambao tu wamepitia form six sasa hiyo taarifa imeleta presha kubwa, nimekuja hapa sio kukataa tamko hilo hapana nimekuja kulitolea ufafanuzi.” – Naibu Waziri Eng. Stella Manyanya

VIDEO:: Mzee wa Upako Akitishia Kumuua Jirani yake

 

VIDEO: Kilichowakuta Wezi waliokuwa wakifukua makaburi…

Kenya ni moja ya nchi za Afrika Mashariki ambazo hazikosi matukio ya ajabu kila mara. Hii imetokea kwenye mji wa Eldoret ambapo kuna watu wanne walikamatwa wakifukua makaburi yaliyozikwa watu kuanzia wiki moja ili kuchukua vitu vya thamani walivyozikwa navyo.
Inaelezwa kuwa hiyo ni mbinu mpya ambayo imegunduliwa na wezi nchini Kenya inapotokea mtu amefariki basi wezi huwa wanakwenda mpaka kwenye mazishi na wanashiriki kama jamaa wa karibu ili tu kushuhudia marahemu amevalishwa au kuwekewa nini kwenye jeneza lake na kisha hurudi baada ya wiki moja kwaajili ya kubomoa na kuchukua vitu alivyozikwa navyo marehemu.
Matukio ya kuvunjwa makaburi yaliwashtua wakazi na ndugu wa karibu wa marehemu na kuamua kuweka lindo ili kuona watu wanaoyavunja ambapo walifanikiwa kuwakamata watu hao wakiwa wameshavunja kaburi moja na mmoja wapo akiwa ndani ya kaburi kitendo kilichopelekea watu hao kuwapiga na kutaka kuwafukia kwenye kaburi lililovunjwa.
Unaweza kutazama hapa chini kuona kilichotokea. Bonyeza Play

DIAMOND ATOA MAKAVU KWA OMMY DIMPOZ. XXL FULL INTERVIEW



'Amefeli kidato cha 6 kwanini akwepe kurudia? '- Prof. Ndalichako








New Video: M-Rap f/ Mayunga – It’s Not Too Late


Akiwa chini ya uongozi mpya wa Mukii International, M-Rap ameachia kazi yake mpya iitwayo ‘It’s Not Too Late’ aliyomshirikisha Mayunga. Wimbo umetayarishwa na Bob Manecky wa AM Records huku video ikiongozwa na Msafiri wa Kwetu Studios.