HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 16 July 2016

PICHA 5: Gari jipya ya Cristiano Ronaldo aliyoinunua Tsh bilioni 4.9


Baada ya michuano ya Euro 2016 kumalizika na timu ya taifa ya Ureno inayoongozwa na nahodha wake Cristiano Ronaldo kutwaa taji hilo, headlines zimekuwa nyingi baada ya staa huyo kushinda Kombe hilo kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yake.
364CEF2B00000578-0-image-a-5_1468572305384
Ronaldo baada ya kutwaa Euro 2016 aliripotiwa kutoa msaada bonansi yake yote aliyopewa, ila headlines za staa huyo hazijaishia hapo, kwani ameamua kununua gari jipya ikiwa siku chache zimepita toka afanikiwe kutwaa Kombe la Euro 2016, kitendo ambacho kinatafsirika kama kuamua kujizawadia zawadi hiyo.
364CEF3300000578-0-image-m-4_1468572294471
Staa huyo wa Real Madrid amenunua gari aina ya Bugatti Veyron 16.4 Grand Sport, gari ambalo lina thamani ya pound milioni 1.7 kiasi ambacho ni zaidi ya bilioni 4.9 za kitanzania, gari aina ya Bugatti Veyron 16.4 Grand Sport aliyoinunua Ronaldo zinatajwa kuwa hadi sasa zimetengenezwa 450 tu, hiyo inatokana na thamani ya gari yenyewe.
364E03A700000578-3691646-image-m-16_1468577798661
364E243000000578-3691646-image-a-25_1468578946036

Friday 15 July 2016

VideoMPYA: Unakaribishwa kuitazama hii video mpya ya Jux _Wivu


July 15, 2016  ndio msanii wa bongofleva Jux ameiachia hii video mpya ya ‘Wivu’  bonyeza play kuitazama hapa chini kisha achia comment yako Jux akipita baadae ajue watu wake wanasemaje.

Shule za wavulana zaongoza matokeo ya kidato cha 6



Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la mitihani Tanzania (NECTA) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka huu wa 2016.
SAM_1365
Katibu Mtendaji wa Necta, Charles Msondena amesema kuwa shule za wavulana ndizo zimeonekana kufanya vizuri kwenye kumi bora.Aidha Msondena ameongeza kuwa ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.
Shule 10 zilizofanya vizuri kwenye matokeo hayo ni pamoja na Kisimiri (Arusha), Feza Boys (Dar es Salaam), Alliance Girls (Mwanza), Feza Girls (Dar es Salaam), Marian Boys (Pwani), Tabora Boys (Tabora), Kibaha (Pwani), Mzumbe (Morogoro), Ilboru (Arusha) na Tandahimba (Mtwara).

Yatazame hapa matokeo ya Ualimu DSEE na GATCE 2016


July 15 2016 Wizara ya elimu, sayansi, teknolojia na mafunzo ya ufundi imetangaza matokeo ya Ualimu ‘DSEE’ na GATCE 2016, matokeo ya ualimu ‘DSEE’ 2016 unaweza kuyatazama kwa kubonyeza>>> hapa na kutazama matokeo ya GATCE 2016 >>> hapa

Unaweza kuyatazama hapa matokeo yote ya kidato cha sita 2016

Wednesday 13 July 2016

Tesla launches cheaper version of Model X



A brand new Model X can be yours for $76,500.
Image: Tesla

Trending,video ya Diamond Platnumz alivyonyonya kwapa la Zari,HAA


Entertainment


Mitandao ya kijamii inavituko sana aisee, hii video nimekutana nayo ni miongoni mwa video zinazoongelewa sana mitandaoni, ni video ya Diamond Platnumz alivyonyonya kwapa la Zari
,HAA, NOMAAAA

VIDEO: Polisi wana mpango huu kwa wale wenye vyeti feki maofisini

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa watatu wakazi wa buguruni kwa kosa la kukutwa na nyaraka bandia za serikali kama vyeti vya kidato cha nne, stika za SUMATRA, vyeti vya vyuo vya uuguzi, vyeti vya kuzaliwa, leseni bandia za biashara, nyaraka za bima pia walikutwa na mihuri mbalimbali ya ofisi za serikali na binafsi.
Watuhumiwa wote bado wapo rumande na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani, baada ya mahojiano na polisi watuhumiw hao wamekiri kuuza vyeti watu wengi ambao wako kwenye ajira.
Akizungumza na waandishi wa habari kamishna  wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam, Simon Sirro amesema……….>>>’Wanataja na wanaendelea kutaja watu ambao wamewauzia vyeti na wameshapata ajira serikalini, kama ulinunua hiki cheti, nataka niseme ni balaa kwako kwa sababu watatutajia kila mmoja mmoja na tutakufuata huko ulipo’.
>>>’Hatuishi hizi nyaraka tulizozipata tutakwenda mbali zaidi kwa kuwanyofoa mmoja mmoja aliyejipatia kazi kwa kutumia hivi vyeti bandia

Diamond ateuliwa na ubalozi wa UK Tanzania kuwa balozi wa vijana


Diamond Platnumz ameteuliwa na ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania kuwa balozi wa vijana.
CnLM2MtWAAEizde
Diamond akiwa na balozi wa Uingereza nchini, Bi. Dianna Melrose
Tangazo hilo limetolewa na balozi wa nchi Uingereza nchini, Bi. Dianna Melrose.
Ubalozi huo umekuja kupitia mradi wake wa Next Generation Tanzania.
“Superstar Diamond @diamondplatnumz is now #Tanzania Youth Ambassador @nextgentanzania @UKinTanzania @VelavanG,” ametweet Bi. Merlose kwenye picha akiwa na staa huyo.

Tuesday 12 July 2016

Hii video mpya ya Elani na Jaguar ‘Sirudi’ Enjoy.


Hii video mpya ya Elani na Jaguar ‘Sirudi’, ni wimbo unaohusu mapenzi na makosa wanayofanya wanaume mpaka kupelekea mwanamke kuondoka nyumbani.
Video pia inahusu unyanyasaji wanaopata wakina mama wanapokuwa ndani ya ndoa.

Video mpya ya Diamond Platnumz Ft P-Square ‘Kidogo’ Enjoy.


Hii video mpya ya Diamond Platnumz Ft P-Square ‘Peter Wa P Square Na Paul wa P Square’, Wimbo unaitwa ‘Kidogo‘. 
Video imetayarishwa na GodFather.

Monday 11 July 2016

VideoMPYA: G Nako na Nikki wa II wametuletea hii video mpya inaitwa ‘laini’

Ni wakali kutoka WEUSI G Nako na Nikki wa pili wameungana pamoja kutuletea single nyingine ambayo humo ndani wameonekana watu wachache na mzigo ukakamilika ndani ya dakika 3 na sekunde 49, ukishaitazama usiache kutupia comment yako ili wajue watu wao wameipokeaje.

Usher Raymond atinga Tanzania July 10


Ugeni mwingine ambao Tanzania imekua ikitarajiwa kuwa nao toka juzi ya July 9 2016 ni ujio wa mwimbaji staa kutoka Marekani Usher Raymond ambaye anakuja Tanzania na moja kwa moja kwenda mbugani Serengeti.
Taarifa zilizosogezwa karibu yangu ni kwamba Usher anacho kibali cha kuwinda na uwindaji ataoufanya ni kwa kutumia Upinde na mkuki na ni kuanzia July 10 mpaka 19.
Usher anakua sio staa wa kwanza wa dunia kuja mbugani Serengeti nchini Tanzania, wengine wengi wameshawahi kuja akiwemo Mtangazaji Oprah Winfrey ambapo wengi wao huja lakini kwa kutotaka kutangaza au ijulikane, mpaka akiondoka ndio unaona kapost kwamba alikuwepo Tanzania.
Nilipojaribu kuutafuta uongozi kupata taarifa za zaidi nimeambiwa mara nyingi Mastaa wengi hupenda kujificha wanapokuja na hata hawataki ijulikane na wakati mwingine hawataki kupigwa hata picha lakini ikitokea chochote millardayo.com itakusogezea

MAAJABU YA DUNIA 2016: PICHA MVUA YA SAMAKI YADONDOKA TENA NCHI ZA UGHAIBUNI










wadau mnasemaje kuhusiana na tukio hili

Sunday 10 July 2016

Picha: Christian Bella apamba show ya ‘The Black Tie’ ya Wema Sepetu, aondoka na mabunda ya pesa


Msanii wa muziki Christian Bella amefanya show ya nguvu katika show ya ‘The Black Tie’ ambayo iliandaliwa na malkia wa filamu Wema Sepetu.
Steve Nyerere akimwagia mapesa Christian Bella
Steve Nyerere amwaga mapesa kwa Christian Bella

Show hiyo ambayo imefanyika usiku wa Jumamosi hii katika ukumbi wa King Solomon jijini Dar es salaam, imeacha historia ya aina yake katika muziki kutokana wadau mbalimbali pamoja na mastaa wa filamu kushindana kumtuza msanii huyo. Katika show hiyo pia Bella alisindikizwa na Linex, Barnaba pamoja na Linah.
Pia mkali huyo wa masauti aliweza kuzindua CD yake ya show ya miaka 10 ya Christian Bella iliyofanyika mwezi mmoja uliyopita. Aliangalia za matukio ya show hiyo.
Bella akikusanya mshiko kwanza
Bella akikusanya mshiko kwanza
Bella akimwagiwa dola
Bella akimwagiwa dola
JB akimwaga pesa kwa Christian Bella
JB akimwaga pesa kwa Christian Bella

JB na Irene Uwoya
JB na Irene Uwoya
Mwendo ya pesa tu
Mwendo wa pesa tu
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu

Irene Uwoya akimtuza Bella
Bella akicheza na bosi aliyemmwagia dola za kutosha
Bella akicheza na bosi aliyemmwagia dola za kutosha

Bella akifanya yake
Bella akifanya yake
Bella, Wema Sepetu pamoja na Idris Sultan
Bella, Wema Sepetu pamoja na Idris Sultan
CD mpya ya miaka 10 ya Christian Bella ikizinduliwa
CD mpya ya miaka 10 ya Christian Bella ikizinduliwa

Mama Wema akisaliamia mmoja kati ya wageni wa VIP
Mwendo ya pesa tu
Mwendo ya pesa tu
Pesa kwanza mengine baadae
Pesa kwanza mengine baadae

Shilole akisakata rumba na Esha Buheti
Shilole akisakata rumba na Esha Buheti
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu

IMG_9766
IMG_9777
IMG_9785
IMG_9797

IMG_9799
IMG_9800
IMG_9806
IMG_9812
IMG_9815
IMG_9847
IMG_9857






IMG_9939

Video: Akothee – Yuko Moyoni

Baada ya kusambaa kwa picha mbalimbali katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha msanii wa muziki wa Kenya, Akothee akiwa ndani ya shela la ndoa, Jumamosi hii ameachia video yake mpya ya wimbo ‘Yuko Moyoni’. Video imeongozwa na director Godfadher kutoka Afrika Kusini.