HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Wednesday 13 July 2016

Diamond ateuliwa na ubalozi wa UK Tanzania kuwa balozi wa vijana


Diamond Platnumz ameteuliwa na ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania kuwa balozi wa vijana.
CnLM2MtWAAEizde
Diamond akiwa na balozi wa Uingereza nchini, Bi. Dianna Melrose
Tangazo hilo limetolewa na balozi wa nchi Uingereza nchini, Bi. Dianna Melrose.
Ubalozi huo umekuja kupitia mradi wake wa Next Generation Tanzania.
“Superstar Diamond @diamondplatnumz is now #Tanzania Youth Ambassador @nextgentanzania @UKinTanzania @VelavanG,” ametweet Bi. Merlose kwenye picha akiwa na staa huyo.

No comments:

Post a Comment