HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 7 May 2016

Video: 50 Cent feat. Chris Brown – ‘I’m the Man (Remix)

0 Cent connects with Chris Brown in the glossy video for “I’m the Man (Remix).” After much wait, the duo unleashes the visual for their March collab, featuring a lavish mansion, its luxurious swimming pool, and a stunning view of Los Angeles
 

Friday 6 May 2016

Burudani: Shetta kaachia video yake mpya,itazame hapa..






EXCLUSIVE Picha 10:Harmonize kajipatia usafiri wake mpya….

Baada ya show zake ambazo hazifiki hata 15 toka ametusua kupitia single yake ya Aiyola mkali huyu kutoka WCB ameonyesha bidii ikiwekwa popote kuna matunda.
Ni gari aina ya Mark X ambapo Mmiliki wa label ya WCB, Diamond Platnumz alimpongeza na kuandika…’Kama nikusiivyo siku zote ni juhudi na Nidhamu yako ndio itayokufanya upate matunda ya kazi yako….. Usiache unyenyekevu, kuheshimu mkubwa na Mdogo, Kumuomba na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila hatua ndogo Uipigayo…. Congrats kwa your New Ride’ – Diamond
Hizi ni picha 10 za muonekano wa gari hiyo mpya ya Harmonize kutoka WCB
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Hii video mpya ya Janet Jackson ‘Dammn Baby’ Enjoy.



Hii video mpya ya Janet Jackson “Dammn Baby!” kutoka kwenye album yake ya mwaka jana Unbreakable, video imetoka saa chache baada ya kutangaza anategemea mtoto wake wa kwanza na mume wake Wissam Al Mana

Hasira za ugomvi wa mapenzi zilivyohamia kwenye gari

Picha za gari lililokuwa na ujumbe wa kukasirisha uliochorowa katika gari hilo zimesambazwa mara elfu katika mtandao wa Twitter.
160505150553_carklo2
Gari hilo jeupe aina ya Range Rover Revere lenye bei ya pauni 75,000 lilionekana limeegeshwa karibu na Harrods magharibi mwa London na kuchorwa ujumbe wa kukasirisha kwa kile kilichoonekana kuwa mpenzi aliyedanganywa.
Gari hilo liliandikwa ‘cheater’ { mwongo} katika pande zote mbili za gari huku maneno ”Natamani angekuwa na thamani” yakiandikwa katika madirisha ya gari hilo.
160505150536_carklo4
Klo ambaye alipiga picha za gari hilo alisema kuwa alimuona mwanamke mmoja akilichora gari hilo,alikuwa kama aliye na wazimu.
“Hakuna mtu aliyejaribu kumzuia. Baadaye aliondoka, ‘Its Over’ ni moja ya neno lililoandikwa kwenye gari hilo ikielezea kuisha kwa uhusiano wowote,” aliongeza.

Music: Kid Red Ft Chris Brown & Migos – Bounce

Back with the boing! KidRED rounds up Chris Brown and Migos and hits the strip club in the video for their collaboration “Bounce,” which dropped last month

Thursday 5 May 2016

The 10 Biggest Passenger Airplanes

The 10 Biggest Passenger Airplanes





 

 

 

10. Airbus A340 300 – 295 seats


10 

 The Airbus A340 300 is a passenger airplane made in France. It was first
manufactured in 1993 and can accommodate 295 passengers in a single-class seat
arrangement and 267 in two-class system. It has a travel range of 7,400 nautical
miles or 13,705 kilometers. Its current price is between $211 million to $219 million.
This is the initial version of the A340 and its first users were Lufthansa and Air
France in March 1993. It is powered by four CFMI CFM56-5C

9. Airbus A340 500 – 372 seats

9 

  The Airbus A340 500 is a passenger airplane manufactured in France. It came out in
2006, though there were early deliveries in 2002. It is designed for 372 passengers
in a single-class seat arrangement and 313 in a double class system. The travel
range of this plane is 9,018 nautical miles or 16,700 kilometers. A single unit of the
plane costs around $233 million. When it was first introduced, it was billed as the
passenger airplane with the longest range. It is powered by four 53,000 lbf thrust
Rolls Royce Trent 553 turbofans and uses the Honeywell 331-600 (A) APU. It is one
of the airplanes of choice of Emirates, which has 10 units of this model. Airbus has
sold 22 units of this model.

 

8. Airbus A340 600 – 420 seats

8 

 The Airbus A340 600 is a passenger airplane from France that can accommodate
420 passengers in a single-class system and 380 in a double-class arrangement.
It has a travel range of 7,750 nautical miles or 14,353 kilometers. Four Rolls Royce
Trent 556 engines power the plane with avionics by Thales Smiths. Its maximum
cruising speed is 580 miles per hour and it can go as high as 39,000 feet in the air.
Airbus has sold a total of 48 units of this model. Its price tag is $245 million.

 

7. Boeing 777 200 – 440 seats

7 

 The Boeing 777 200 is a passenger plane made in the United States. It can
accommodate 440 passengers in a single-class system and 400 in a two-class
configuration. It has a travel range of 14,260 kilometers or 7,700 nautical miles. The
plane is powered by a couple of Pratt and Whitney PW 4090 engines at 90,000 lbf.
The maximum cruising speed is 587 miles per hour and the service ceiling is 43,100
feet. Boeing has already sold 439 units. The price tag is $258.8 million.

6. Airbus A380 700 – 525 seats

6 

 The Airbus A380 700 is a passenger plane from France with a travel range of 8,700
nautical miles or 16,112 kilometers. It can accommodate 525 passengers in a single-
class configuration and 480 in a two-class set up. The plane costs $301 million. Four
Engine Alliance GP 7270 engines at 70,000 lbf power it. The maximum cruising
speed is 676 miles per hour while the service ceiling is 43,000 feet. It can climb up at
a rate of 4,500 fpm.

 

5. Boeing 777 300 – 550 seats

American Airlines 777 K65100 

 The Boeing 777 300 is a passenger plane manufactured in the United States
with a seat capacity of 550 people in a single-class set up and 451 in a two-class
configuration. It has a travel range of 6,013 nautical miles or 11,135 kilometers. Two
Rolls Royce RR 892 engines at 92,000 lbf power the plane. The maximum cruising
speed is 587 miles per hour while the service ceiling is 43,100 feet. Boeing has sold
60 u

4. Boeing 747 400 – 624 seats

4 

 

nits of this model at $279 million each.The Boeing 747 400 is a passenger plane made in the United States that can
accommodate 624 passengers in a single-class set up and 524 in a two-class
system. It has a travel range of 7,260 nautical miles or 13,446 kilometers. It has four
General Electric GE CF6-80C2B5F engines at 62,100 lbf to provide its power. The
maximum cruising speed is 565.47 miles per hour and the service ceiling is 45,000
feet. The plane costs $228 million. Boeing has already sold 1,358 units of this model.

                                                                                 

3. Boeing

747 8 – 700 seats

3 

2. Airbus A380 800 – 853 seats

2

The Airbus A380 800 is a passenger plane made in France with capacity for 853
passengers in a single class or 644 in a two-tiered class. It has a travel range of
8,208 nautical miles or 15,200 kilometers. The plane costs $318 million. Four Rolls
Royce Trent 970B engines at 70,000 lbf power the plane. The maximum cruising
speed is 676 miles per hour with service ceiling of 43,000 feet. Airbus has sold 192
units of this model.

1. Airbus A380 900 – 900 seats

 1

 he Airbus A380 900 is a passenger plane from France with a travel range of 8,100
nautical miles or 15,000 kilometers. It can accommodate 900 passengers in a single-
class set up and 656 in double-class configuration. The plane costs $337.5 million.
Four Rolls Royce Trent B engines are used to help the plane attain maximum cruising speed of 676 miles per hour and maximum height of 43,000 feet.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

THE BIGGEST SHIPS IN THE WORLD

Knock Nevis.jpg
1: Seawise Giant

Originally smaller, jumboisation made Seawise Giant the largest ship ever by length, displacement (657,019 tonnes), and deadweight tonnage.




2: Batillus class (4 ships)
Batillus tanker in Saint-Nazaire.jpg



The four Batillus-class supertankers were the largest and longest ships ever to be laid down per original plans. They were the largest ever when measuring gross tonnage, and were second only to Seawise Giant (post its jumboisation) for deadweight tonnage and length overall. All were built by 1979, three were retired by 1986, only Prairial sailed to 2003.
  
3:Barzan
Container ship Barzan, photographed from the rear tractor KOTUG Boxter.jpg




4: Pioneering Spirit

Pieter Schelte (ship, 2014) 002.jpg

Pioneering Spirit is the largest twin-hulled vessel ever built as well as, at 124 metres (407 ft), the widest ship in the world.
Photo is prior to renaming of vessel.
 
5: TI class (4 ships)
Hellespont Tara-023.JPG

The four TI-class supertankers are the largest ships currently in service by deadweight tonnage. Two ships have been converted to floating storage and offloading (FSO) units

 6:Valemax (35 ships)


Vale Rio de Janeiro 20120108 01.jpg

he 400,000-ton Valemax ore carriers are the largest bulk carriers ever constructed by deadweight tonnage and length overa

7: Oasis class (4 ships)
Oasis of the Seas.jpg

Oasis-class cruise ships Oasis of the Seas and Allure of the Seas are the largest passenger ships ever built by gross tonnage, length overall and passenger capacity. A third and fourth ship are under construction.[


Queen Mary 2 outbound from Southampton 2 Sept 2013.jpg


  8   Q-Max (14 ships)
 Mozah.JPG


 9:    USS Enterprise
USS Enterprise (CVN-65).jpg


USS Enterprise, the longest aircraft carrier ever built, was deactivated in December 2012.




Wednesday 4 May 2016

Forbes yataja hawa wasanii watano wa hiphop wenye mkwanja zaidi mwaka 2016.

  1. Sean “Diddy” Combs bado anashikilia namba moja akiwa na utajiri wa dola milioni $750.
Puff Daddy 

2.Andre “Dr. Dre” Young anashikilia namba mbili kama mwaka jana akimiliki dola milioni $710 kutoka kwenye faida za biashara zake kama Beats By Dr. Dre.
Dr Dre 

3. Shawn “Jay Z” Carter anamiliki dola milioni $610 kutokana na faida ya kampuni yake ya kusikiliza muziki na kutazama kazi za wasanii ka kulipia ya TIDAL Na mikataba na wasanii wengine kupitia Roc Nation.
Jay Z 

4. Bryan “Birdman” Williams anashika namba yake ile ya nne akiwa na mkwanja dola milioni $110 million kutokana na lebel yake ya Cash Money.
Birdman 

 5. Aubrey Drake Graham, Drake ameingia kwenye orodha hii akiwa namba 5 akimiliki dola milioni $60
 
 Drake
 

Tecno waja na simu mpya Boom J8

Boom J8 ni kifaa kipya kabisa kutoka TECNO ambacho kimekuja mwishoni mwa mwezi wa April mwaka huu. Smartphone zimeendelea kurahisisha maisha ya watumiaji wake kila kukicha.





1



Najaribu kufikiri kama maisha bila mziki yangelikuwaje, ama mziki ungekuwepo lakini usingekuwa na kiungo chochote kile yaani mashairi tupu bila mdundo.
TECNO inafahamu kitu ambacho wajanja wote wanakitaka kuongezewa katika mziki ndio maana ikaja na Boom J8 Smartphone ya kijanja iliyotengenezwa maalumu kwa ajili ya wapenda mziki. Boom J8 imetengenezwa kuzingatia mahita yako yote mziki katika maisha yako ya kila siku.
Hebu tujaribu kuitupia jicho Smartphone hii ambayo imetokea kuwa gumzo mjini. Katika kitu cha kwanza ambacho TECNO wameua katika simu hii ni kuiuza pamoja na Headphones mpya kabisa ambazo zinakuja na smartphone, headphone hizi ni maalumu kwajili ya Boom J8 tu ndio maana zinauzwa pamoja na simu hii. Headphone hizi zinafaamika kama Boom Headphones.
Lakini pia Smartphone hii inekuwa ya kwanza kuja na Operating System mpya ambayo itakuwa inapatikana katika smartphone za TECNO peke yake. HiOS ni OS ambayo inaifanya Boom J8 kuwa ya kipekee na tofauti kabisa na OS nyingine ulizozizoea.
Katika HiOS mtumiaji anaweza kubadilisha Theme katika smartphone yako na kuifanya kuwa na mwonekano wa toauti kabisa na simu nyingine.
Boom J8 sasa inapatikana katika maduka yote mjini unaweza kuipata kwa bei nafuu Zaidi. Wahi madukani ujinyakulie chombo ambacho kitakata kiu tako ya mziki.

Justin Bieber aingia kwenye hii kesi nyingine

Justin Bieber atakiwa kulipa dola 100,000 kwa kosa la kuvunja simu kwenye klabu mjini Texas




Coll-Justin-Bieber-2013-Wallpaper-HD-Free.png


Msanii huyo anatuhumiwa kuvunja simu ya Robert Earl Morgan aliposhtukia kuwa anarekodiwa kupitia simu hiyo wakati anakunywa pombe.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Morgan amedai kuwa kulikuwa na vitu vingi ndani ya simu hiyo, picha za sherehe ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa bibi yake, picha zake za chuo, picha 5000 na kumbukumbu ya video ya safari yake pamoja na namba za simu zilizokuwa kwenye simu hiyo aliyoivunja Bieber.
Mpaka sasa Justin Bieber bado hajazungumzia chochote juu ya tuhuma hiyo inayomkabil

Tuesday 3 May 2016

BEST LAPTOP 2016




    HP Spectre x360

     10 Best 2-in-1 Hybrid Laptops 2016


CPU: 2.2GHz Intel Core i5-5200 (dual-core, 3MB cache, up to 2.7GHz with Turbo Boost) | Images:Intel HD Graphics 5500 | Display: 13.3-inch, 1,920 x 1,080 FHD Radiance LED-backlit touchscreen | Storage: 256GB SSD | Connectivity: 802.11ac (2×2) and Bluetooth 4.0 combo Weight: 3.26 pounds | Measurements: 12.79 x 8.6 x 0.63 inches (W x D x H)
Battery lifeToo and superbly thinVibrant, bright displayExcellent operation heavy to utilize as a tabletWeird, broad trackpad
Purchase the HP Spectre x360. It easily comes as one of my most recommended machines, with an exceptional 1080p display, solid performance, great battery life, and strong build quality; all for a great bargain at $999 (£899, AU$1,899).
If it were not for a few missteps with the trackpad and being overly hefty for tablet computer use, this notebook would have readily stood amongst the most highly rated laptops TechRadar has reviewed. Despite its defects, though, the Spectre x360 is one of the greatest-looking and powerful apparatus HP has produced and well worth a look over many, many other 2-in-1 laptops.

Lenovo Yoga 900

10 Best 2-in-1 Hybrid Laptops 2016 

 

 

Lenovo Think Pad Yoga 12

 

 10 Best 2-in-1 Hybrid Laptops 2016

 


Waziri Dk. Augustine Mahiga, amezungumzia sakata la mke wake na askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dk. Augustine Mahiga, amezungumzia sakata la mke wake kudaiwa kumtukana askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani.
IMG_1575


Dk. Mahiga alisema kwamba mke wake alipishana kauli na askari huyo aliyefahamika kwa jina la Deogratius Mbango, na hakutoa lugha ya matusi kama inavyodaiwa.
Alisema baada ya kupokea taarifa hiyo, alifuatilia ili kujua ukweli, ikiwamo kusikiliza sauti ya majibizano baina ya askari huyo na mkewe, ambapo alibaini kuwa walipishana kauli.
Hata hivyo Balozi Mahiga alisema suala hilo kwa sasa limemalizika na asingependa kuingia kwenye malumbano zaidi kwa jambo lililopita.
“Ni kweli mama (mke wake) alikuwa katika barabara ya Namanga, ambako alipishana kauli na askari wa usalama, nami nilifuatilia suala hili kwa undani sana. Ninachoweza kusema sitaki kuingia kwenye malumbano juu ya suala hili kwa kuwa limemalizika.
“Wewe umesikiliza hiyo ‘clip’ (sauti ya mazungumzo) je, umesikia neno tusi? Hilo ndilo ninalojua kwa sasa, mengine sijui yanayoendelea,” alijibu kwa kifupi Balozi Mahiga.
Alipoulizwa kuhusu kusambaa kwa picha inayomdhalilisha, Dk. Mahiga alisema kwamba alishangazwa na picha hiyo huku akishindwa kuelewa lengo la watu walioitengeneza na kuisambaza.
“Hata mimi sijui lengo lao nini kuisambaza ile picha, maana mimi niliiona kama ulivyoiona wewe,” alisema.
Picha ya Balozi Mahiga inayoonyesha suruali yake imelowa sehemu ya mbele, imekuwa ikizunguka katika mitandao ya kijamii kwa takriban wiki moja sasa.

Kingwendu atafuta management ili ajikite zaidi kwenye muziki

Msanii wa vichekesho na muimbaji, Kingwendu amesema angependa kuwa na msimamizi wa shughuli zake katika sanaa ya muziki ili aweze kutoka badala ya kutegemea uchekeshaji peke yake

Kingwendu.._full


Akizungumza na Times Fm, Kingwendu alisema kuwa amekuwa akitoa nyimbo mbalimbali lakini bahati mbaya hazipati nafasi ya kusikilizwa kwenye vituo vya redio kwa ajili ya kumtangaza.
“Nimegundua kuwa sababu kubwa ambayo inanikwamisha kutoka kimuziki ni kukosa meneja wa kusimamia kazi zangu, hivyo najaribu kuangalia uwezekano wa kumpata,” alisema kingwendu.
Msanii huyo alisema kuwa ana uwezo wa kupambana na wasanii wa muziki wa kizazi kipya wanaotamba kwa sasa na kuwabwaga iwapo atapata meneja wa kusimamia kazi zake vizuri.
“Hao wanaotamba sasa ni kwa sababu wana watu wa kusimamia kazi zao na mimi nitafanya hivyo ndipo mtaamini kile ninachokisema kwamba nina uwezo mkubwa wa kuimba ila ninakosa usimamizi tu,” alisema