HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Wednesday 4 May 2016

Justin Bieber aingia kwenye hii kesi nyingine

Justin Bieber atakiwa kulipa dola 100,000 kwa kosa la kuvunja simu kwenye klabu mjini Texas




Coll-Justin-Bieber-2013-Wallpaper-HD-Free.png


Msanii huyo anatuhumiwa kuvunja simu ya Robert Earl Morgan aliposhtukia kuwa anarekodiwa kupitia simu hiyo wakati anakunywa pombe.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Morgan amedai kuwa kulikuwa na vitu vingi ndani ya simu hiyo, picha za sherehe ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa bibi yake, picha zake za chuo, picha 5000 na kumbukumbu ya video ya safari yake pamoja na namba za simu zilizokuwa kwenye simu hiyo aliyoivunja Bieber.
Mpaka sasa Justin Bieber bado hajazungumzia chochote juu ya tuhuma hiyo inayomkabil

No comments:

Post a Comment