HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Friday 22 April 2016

Video: Rose Ndauka asema aliumia kuachana na mpenzi wake ‘Malick’ siku chache kabla ya ndoa yao

Msanii wa filamu Rose Ndauka amesema hakuna kitu kilimuumiza katika maisha yake kama kuachana na mpenzi wake Malick Bandawe aka Chiwaman, siku chache kabla ya ndoa yao kufanyika




rose ndauka

Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Rose Ndauka amesema aliumia kwa sababu alishatangaza kwa watu, kwamba anatarajia kufunga ndoa.
“Kiukweli iliniumiza sana, kwa sababu mpaka tumefikia hatua tufunge ndoa, na nilikuwa naamini kuwa siku chache zijazo Rose sio Rose tena bali ni Mrs fulani,” alisema Rose. Lakini mimi naamini ndoa inapangwa na Mungu, ilipofika mwenyezi Mungu hakuhitaji kile kitu kifanyike, basi nikamshukuru Mungu,”
Rose alisema kwa sasa yupo kwenye mahusiano na mtu mwingine huku akidai kuwa hawezi kupata mtoto mwingine nje ya ndoa.

Ladies: Hizi ni dalili 9 kuwa wewe si ‘main chick’ bali ni mchepuko wake tu!

Wanaume wengi ni wataalam wa kuwa na uhusiano na wanawake wengi kwa wakati mmoja. Sasa kwa msichana unayesoma makala hii, hizi ni dalili 9 kuwa huenda wewe si ‘baby number one’ wake bali ni mchepuko tu.

sidechick_caro_page-bg_42488-1024x640

 1. Mazungumzo mengi naye yanahusisha kufanya mapenzi tu
2. Hawezi kukualika kwenye mkusanyiko wa familia yake
3. Hapendi surprises – hapendi uende kwake bila kumwambia
4. Ni mkali sana kwenye simu yake, hawezi kukuruhusu uishike
5. Ni mgumu kukuonesha mahaba ukiwa naye hadharani
6. Anahofia kupiga selfie na wewe
7. Anapigiwa simu za ajabu ajabu
8. Hakuiiti wewe kama girlfriend wake. Akiwa na marafiki au
ndugu zake anakutambulisha kwa jina lako
9. Haongelei kuhusu mipango yenu ya baadaye

Picha: Ben Pol awa baba kimya kimya!

en Pol ni mpenzi wa ngoma ya marehemu Ngwair na Jay Moe ‘Kimya Kimya.Ben
Ni kwasababu tumebaini kuwa mfalme huyo wa R&B kama anavyojiita ni baba wa mtoto wa kiume mwenye miezi kadhaa sasa!
Muimbaji huyo wa ‘Ningefanyaje’ amepiga kimya lakini sio rahisi kwa mama aliyejifungua kuificha furaha ya kupata mtoto. Mchumba wa Ben Pol, Latifa Mohamed aka Queen Tipha aliyewahi kuwa mshindi wa pili kwenye Miss Tanzania 2013 ametusogeza karibu na mtoto wao. Tazama picha za Tipha na mwanae
12960147_1138644399499710_1329504433_n

Team Zari wanamshambulia mrembo huyu, wanadai amechepuka na Diamond

12783337_589751924508095_2021141505_n



Mashabiki wa Zari the Bosslady wanamshambulia Lynn, mrembo aliyetumika kwenye video ya ‘Kwetu’ ya msanii wa WCB, Raymond kwasababu wamesikia tetesi kuwa amechepuka na Diamond Platnumz.
Tetesi hizi ni kubwa kiasi ambacho watu walio karibu na mastaa hao wamedai kuwa zimeitikisa ikulu ya Chibu. Wanadai kuwa Zari amekerwa na tetesi hizo na kwamba uhusiano wao umepata dosari.
12797777_1677553662507605_1408288689_n


Wiki hii tetesi hizo zimevuma zaidi kiasi ambacho mashabiki wa Zari wamekuwa wakimmiminia matusi Lynn kwenye akaunti yake ya Instagram.
Inafurahisha kwasababu Lynn haoneshi kutikiswa na matusi hayo huku pia akipewa support kubwa kutoka kwa mashabiki ambao hawampendi Zari. Of Course Team Wema yote inaonesha kuwa nyuma yake!
Cha kuvutia zaidi ni kuwa Lynn ni msichana mdogo na mrembo sana kiasi ambacho wasiompenda Zari wanasema anafaa zaidi kuwa kifaa cha Bin Mondi. Kwa wengi hizi bado ni tetesi tu lakini kama ukiangalia post za nyuma za Lynn, utagundua kuwa alikuwa shabiki mkubwa wa Daimond kwakuwa amekuwa akiweka picha zake [Diamond] mara kwa mara
10012561_1698384190423397_1266062110_n
Lynn ana kila sababu ya kuwa na wasiwasi sababu kuna mashabiki wanaoenda mbali zaidi kwa vitisho vyao.
“We see these stories going around & we are watching you. Ntakutoa meno. Utak*zwa kwa mk**u since you look like a hor*y bitch jumping on people’s husbands… you have been warned,” ameandika shabiki mmoja.
“Watch your steps. We already have a bajaji which followed you to your house. You like f**ing other people’s men? You will get whats coming to you. Stay away from mama tiffahs man. Ut**wa mal**a ww. Rudi kumpost tena,” ameongeza.
Lynn ana watetezi wengi pia.
“Aisee hata ningekua mimi bwanangu niskie ana mwanamke mzuri kunishinda lazma nitahangaika!! Khaaa si kwa uzuri huu Lynn,” ameandika shabiki mmoja.
“@zarithebosslady rudi kwenu BANANGE kule kijijini ulivoendaga kuroga siku ile basiii!! Ku****yo M***ya la mwaka 79 yani usitake nianze kukupa michambo,sawa? Eti omulunji,ushapewa kiki za kutosha k*** wewe ulikutwa na followers elfu moja sasa hivi una followers milion inaenda milion 2..haya fanya yako bibi la kupenda kiki mpaka linasahau kuwaangalia wanae!! Fanya mitende ile,halafu hukuchomaga kinga ya matende wewe ulivozaliwa eeeh?? Au enzi hizo uganda kinga zilikua bado hazijaingia?”
Hatari tupu! Acha tuone movie hii itaishia wapi! Mfahamu zaidi Lynn kwa picha zake hizo chini.

916042_1003190396431071_463545754_n
12328027_865360636925265_1867668250_n
12599293_1246832102013248_1544433012_n

12917999_205133643196253_42235573_n


Volvo wants to sell 1 million electrified vehicles by 2025


170158_twin_engine_t8_volvo_s90_inscription_white
While the first Volvo EV will be significant, perhaps more striking is the two hybrid versions of every model the Swedish carmaker makes. Some automakers offer both a hybrid and plug-in hybrid version of some of its models. However, none offers two hybridized versions of every model.
I admire Volvo's eagerness to embrace electrification. The question is, however: Will customers respond accordingly? We'll have to wait and see



Wednesday 20 April 2016

SENSE: Montblanc E-strap makes your traditional luxury watch More Innovative.

SENSE: Montblanc E-strap makes your traditional luxury watch More Innovative.

op 5 Best DSLR Cameras For shooting VIDEO

Top 5 Best DSLR Cameras For shooting VIDEO

1:Canon EOS 70D


Top 5 Best DSLR Cameras For shooting VIDEO

This camera is best for documentary shooters and for low budget filmmakers also.
It is a professional camera designed purely for making video. It has a super 35 Sensor that has cinematic look results. It can also perform well in low light, plus point of C100.
There is also XLR Inputs for capturing Pro audio. This can be best for those who don’t want to compromise on image quality.
Prefer to select the right one for your shooting, keeping in mind about the specification of all these Cameras. 

2. Panasonic Lumix GH4 Mirrorless Camera

 

Top 5 Best DSLR Cameras For shooting VIDEO


Montblanc E-strap makes your traditional luxury watch More Innovative.




Montblanc E-strap

 Smartwatches are no more the domain of latest Tech companies. Now luxury watch makers looks forward & making their watches according to latest standards. This time Montblanc jumps into this battle ground by just launching its E-strap & named it Montblanc E-strap .



Montblanc E-strap



Magodoro haya yanaweza kugundua iwapo mpenzi wako anachepuka

Watengenezaji wa magodoro wameendelea kuumiza vichwa zaidi kuingiza sokoni magodoro yanayotumia teknolojia ya hali ya juu
Mid-adult couple sleeping --- Image by © Tim Pannell/Corbis


Watengenezaji wa Hispania wametengeneza magodoro yanayoweza kugundua iwapo mpenzi wako anachepuka. Yakiuzwa kwa £1,200, magodoro hayo yanamwezesha mtu aliye mbali na nyumbani kuangalia simu yake na kuangalia kama yanatumika na watu wangapi wamelalia.
Magodoro hayo yanatumia sensa maalum kugundua matumizi yanayotia wasiwasi na kumjulisha mmiliki kupitia app.
Watengenezaji wanadai kuwa ni ngumu kugundua kwa macho kuwa magodoro hayo yamefungwa kitu kwasababu taknolojia hiyo imefungwa kwenye springi zake.
Msemaji wa kampuni ya Durmet, watengenezaji wa magodoro hayo, Jose Antonio Muinos alidai kuwa waliamua kuja na wazo hilo kwasababu takwimu za usaliti kwenye ndoa na uhusiano zinaonesha kuwa Wahispania ni watu wasio waaminifu zaidi Ulaya.
“It is a concept that will bring peace of mind to men and women, not just during the night but also during the day while they are out at work and the bed should really be being used. On the outside it is just a normal looking and very comfortable mattress, but inside hides some cutting-edge technology,” alisema.
‘We think the mattress will do well internationally because it is the only one in the world that uses this technology and is designed specifically for the objective of catching cheating partners.”
Kwa mujibu wa mtandao wa Ashley Madison, mji wa Madrid unaongoza kwa kuwa na watu wanaosaliti zaidi ndoa zao.

Justin Campos aongoza video ya ‘Ndindindi

Lady Jaydee ameweka hadharani kuwa Justin Campos ndiye aliyeongoza video ya wimbo wake mpya, ‘Ndindindi.
 





12976675_861002590692999_1912303554_n
aa huyo amepost video Instagram inayomuonesha Justin akiwa na mke wake Candice Campos kueleza walivyokutana.
“Nilikutana na Justin Campos Kwa Mara ya Kwanza 2006 Wakati Tunafanya Video ya Njalo Nilioshirikiana na kundi la South Africa Linalojulikana Kama Mina Nawe, Justin Ndio alikuwa Director wa Video Hiyo Baada ya Miaka 10 tumefanya kazi tena 2016,” aliandika Jaydee.
“Dunia Duara tunazunguka Tunarudi tena tunakutana #NdiNdiNdiMusicVideo #ThisComingThursday #NguvuYaUmma #WananchiWameipokea #KaaTayariKuipokea,” aliongeza.


JS44222832

Barakah Da Prince amvisha Naj ‘Pete ya Ahadi’

barakah_daprince

Wamefunguka exclusively kwa Bongo5 kuhusu uhusiano wao:
“Yeah ni kweli mimi na Naj tuna uhusino na hadi kwetu nimeshamtambulisha na yeye kwao najulikana na pia nimemvisha pia pete, sio ya uchumba ila ni Promise Ring,” amesema Barakah


barakah-1-656x800.


“Ndio hivyo yaani kuna kazi pia ambazo tumefanya ila hazitatoka sasa hivi hadi kwanza kila mtu atoe single yake halafu ndio itakuja hiyo ngoma ya pamoja mimi na Naj,” ameongeza


baranaj 4

Jaguar: Nilijaribu kumsaidia Chidi Benz, tatizo hupoteza matumaini mapema

Staa wa Kenya, Jaguar amedai kuwa amewahi kujaribu kumsaidia Chidi Benz aondokane na matumizi ya madawa ya kulevya lakini ilikuwa ngumu kwasababu rapper huyo hupoteza matumaini mapema


12558535_975354382558641_14786179_n

 Akiongea kwenye kipindi cha Mseto cha Radio Citizen, Jaguar alisema Chidi amekuwa akidai kuwa muziki wake hauchezwi redioni, jambo linalomchanganya na kumfanya aendelee kutumia unga.
“Chidi Benz nimeongea naye kwa muda mrefu hata nilienda TZ na kuna picha kwenye mtandao tuko naye. Kibaya kuna watu unaweza ukawasaidia na wengine usiwasaidie, mfano kama Chidi ni rafiki yangu ukiongea naye analose hope haraka sana na maisha,” alisema Jaguar.
“Kama sasa ananiambia kuna watu walikataa kucheza muziki wake, mimi tunakaa chini na AY tunaongea, tunamuambia wewe ingia studio AY atasimamia lakini unapata analose hope haraka sana. Sasa huwezi ukafanya kila kitu kwa mtu,” aliongeza

#UPDATE: Mwili uliozama na gari baharini ulivyopatikana Dar es salaam


April 20 2016 imeripotiwa habari ya kuzama kwa gari lililokuwa ndani ya Pantoni lililokuwa linavuka kuelelekea Kigamboni jijini Dar es salaam, gari hilo liliserereka kutoka kwenye Pantoni na kuzama baharini ambapo inasadikiwa ilikuwa na watu kati ya wawili au watatu.
Mnamo majira ya asubuhi Jeshi la zimamoto na uokoaji lilifanikiwa kuupata mwili mmoja, mchana wa leo umepatikana mwili mwingine wa Nice Karagwe ambapo nimefanikiwa kuzinasa hizi picha.


IMG-20160420-WA0028 

Tuesday 19 April 2016

Apple Mabook 13 inch Full reviews

 Apple is advertising the longer battery life with maximum timing of 10 hours also in this latest version. Such a powerful machine with better quality display make the MacBook really outstanding.
In my opinion, regular use of this MacBook pro by me with continuous web surfing, Typing and photo editing still it works better for 7-8 hours .Really once again awesome plus point for this MacBook.
If you are searching for a MacBook then it will not be difficult because there is different between these MacBook’s because of have or no retina display.
 Mabook pro 2015 13 inch Full reviews
 This retina MacBook pro has large display and full sets of ports, faster performance and long battery life. This MacBook is all around best one that you can buy today for your convenience.
This new 13-in MacBook pro is available in US$1,300 for 128 GB of storage and 8 GB of RAM. And you want to buy 256 GB of storage containing MacBook then you have to spend extra $ 200 to take it.

Laptops with the Longest Battery Life

Monday 18 April 2016

LAMBORGHINI Asterion LPI 910-4 Hybrid concept OFFICIAL REVEALED

Lamborghini Asterion LPI 910-4


LAMBORGHINI Asterion LPI 910-4 Hybrid concept OFFICIAL REVEALED

 Lamborghini has announced his first Hybrid super sports car with Amazing 910 Horse power.Lamborghini Asterion LPI 910-4 is a future car but its concept is officially Revealed. 

Ferrari is a biggest competitor of Lamborghini in the past but the tussle is continuing with Amazing innovation installed by both these Rivals.Ferrari installed best Engines in their cars and Lamborghini is in top with its cutting edge Body design



Lamborghini Asterion LPI 910-4
Ferrari already land his Hybrid car on the road. Now lamborghini seriously thinking about Hybrid technology, which may seen good for it’s innovative Road beasts. Fuel is also a very big problem ,So,very car tech company convert it’s car into Hybrid Technology. So, This may be a best time for Lamborghini & other companies to install this super Technology in their cars.
The Lamborghini Asterion LPI 910-4 packs with V10,5.2 L engine with Amazing 610 Horse power & its Trio of Electric Motor  put this horsepower to 910 with 300 step-up.That number throw this car on top with Most of powerful super cars like LAFerrari Hybrid & Mclerin P1.
In terms of speed Lamborghini Asterion LPI 910-4 hits 0 to 60 Mp/h (0 to 100 km/h) in just 3 seconds & This Green Tech  Engine Drive this car with Amazing speed upto 200 Mp/h or 320 km/h.Electric Motor drove this car upto 31Mp/h or 50km/h.
There is no much information about it’s pricing & avalibilty .So, Let see what staretegy & efforts puts by Lamborghini to make this more cool before lands it on Road.
Don’t Forgot that this car Interior is Wrapped with fully stitchy Leather.



Lamborghini Asterion LPI 910-4 interior 




PICHA NYINGINE YA MUONEKANO WA DARAJA LA KIGAMBONI JIJI DAR ES SALAAM