HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Friday 22 April 2016

Team Zari wanamshambulia mrembo huyu, wanadai amechepuka na Diamond

12783337_589751924508095_2021141505_n



Mashabiki wa Zari the Bosslady wanamshambulia Lynn, mrembo aliyetumika kwenye video ya ‘Kwetu’ ya msanii wa WCB, Raymond kwasababu wamesikia tetesi kuwa amechepuka na Diamond Platnumz.
Tetesi hizi ni kubwa kiasi ambacho watu walio karibu na mastaa hao wamedai kuwa zimeitikisa ikulu ya Chibu. Wanadai kuwa Zari amekerwa na tetesi hizo na kwamba uhusiano wao umepata dosari.
12797777_1677553662507605_1408288689_n


Wiki hii tetesi hizo zimevuma zaidi kiasi ambacho mashabiki wa Zari wamekuwa wakimmiminia matusi Lynn kwenye akaunti yake ya Instagram.
Inafurahisha kwasababu Lynn haoneshi kutikiswa na matusi hayo huku pia akipewa support kubwa kutoka kwa mashabiki ambao hawampendi Zari. Of Course Team Wema yote inaonesha kuwa nyuma yake!
Cha kuvutia zaidi ni kuwa Lynn ni msichana mdogo na mrembo sana kiasi ambacho wasiompenda Zari wanasema anafaa zaidi kuwa kifaa cha Bin Mondi. Kwa wengi hizi bado ni tetesi tu lakini kama ukiangalia post za nyuma za Lynn, utagundua kuwa alikuwa shabiki mkubwa wa Daimond kwakuwa amekuwa akiweka picha zake [Diamond] mara kwa mara
10012561_1698384190423397_1266062110_n
Lynn ana kila sababu ya kuwa na wasiwasi sababu kuna mashabiki wanaoenda mbali zaidi kwa vitisho vyao.
“We see these stories going around & we are watching you. Ntakutoa meno. Utak*zwa kwa mk**u since you look like a hor*y bitch jumping on people’s husbands… you have been warned,” ameandika shabiki mmoja.
“Watch your steps. We already have a bajaji which followed you to your house. You like f**ing other people’s men? You will get whats coming to you. Stay away from mama tiffahs man. Ut**wa mal**a ww. Rudi kumpost tena,” ameongeza.
Lynn ana watetezi wengi pia.
“Aisee hata ningekua mimi bwanangu niskie ana mwanamke mzuri kunishinda lazma nitahangaika!! Khaaa si kwa uzuri huu Lynn,” ameandika shabiki mmoja.
“@zarithebosslady rudi kwenu BANANGE kule kijijini ulivoendaga kuroga siku ile basiii!! Ku****yo M***ya la mwaka 79 yani usitake nianze kukupa michambo,sawa? Eti omulunji,ushapewa kiki za kutosha k*** wewe ulikutwa na followers elfu moja sasa hivi una followers milion inaenda milion 2..haya fanya yako bibi la kupenda kiki mpaka linasahau kuwaangalia wanae!! Fanya mitende ile,halafu hukuchomaga kinga ya matende wewe ulivozaliwa eeeh?? Au enzi hizo uganda kinga zilikua bado hazijaingia?”
Hatari tupu! Acha tuone movie hii itaishia wapi! Mfahamu zaidi Lynn kwa picha zake hizo chini.

916042_1003190396431071_463545754_n
12328027_865360636925265_1867668250_n
12599293_1246832102013248_1544433012_n

12917999_205133643196253_42235573_n


No comments:

Post a Comment