HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Sunday 10 July 2016

Picha: Christian Bella apamba show ya ‘The Black Tie’ ya Wema Sepetu, aondoka na mabunda ya pesa


Msanii wa muziki Christian Bella amefanya show ya nguvu katika show ya ‘The Black Tie’ ambayo iliandaliwa na malkia wa filamu Wema Sepetu.
Steve Nyerere akimwagia mapesa Christian Bella
Steve Nyerere amwaga mapesa kwa Christian Bella

Show hiyo ambayo imefanyika usiku wa Jumamosi hii katika ukumbi wa King Solomon jijini Dar es salaam, imeacha historia ya aina yake katika muziki kutokana wadau mbalimbali pamoja na mastaa wa filamu kushindana kumtuza msanii huyo. Katika show hiyo pia Bella alisindikizwa na Linex, Barnaba pamoja na Linah.
Pia mkali huyo wa masauti aliweza kuzindua CD yake ya show ya miaka 10 ya Christian Bella iliyofanyika mwezi mmoja uliyopita. Aliangalia za matukio ya show hiyo.
Bella akikusanya mshiko kwanza
Bella akikusanya mshiko kwanza
Bella akimwagiwa dola
Bella akimwagiwa dola
JB akimwaga pesa kwa Christian Bella
JB akimwaga pesa kwa Christian Bella

JB na Irene Uwoya
JB na Irene Uwoya
Mwendo ya pesa tu
Mwendo wa pesa tu
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu

Irene Uwoya akimtuza Bella
Bella akicheza na bosi aliyemmwagia dola za kutosha
Bella akicheza na bosi aliyemmwagia dola za kutosha

Bella akifanya yake
Bella akifanya yake
Bella, Wema Sepetu pamoja na Idris Sultan
Bella, Wema Sepetu pamoja na Idris Sultan
CD mpya ya miaka 10 ya Christian Bella ikizinduliwa
CD mpya ya miaka 10 ya Christian Bella ikizinduliwa

Mama Wema akisaliamia mmoja kati ya wageni wa VIP
Mwendo ya pesa tu
Mwendo ya pesa tu
Pesa kwanza mengine baadae
Pesa kwanza mengine baadae

Shilole akisakata rumba na Esha Buheti
Shilole akisakata rumba na Esha Buheti
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu
Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu

IMG_9766
IMG_9777
IMG_9785
IMG_9797

IMG_9799
IMG_9800
IMG_9806
IMG_9812
IMG_9815
IMG_9847
IMG_9857






IMG_9939

No comments:

Post a Comment