HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Friday 2 December 2016

PICHA : Magari yanayotumia umeme yanayotengenezwa China

161202092142-next-ev-7-exlarge-169
Tunafahamu kuwa teknolojia inakuwa kila siku hasa katika nchi zilizoendelea ambapo China ni moja ya nchi hizo, Headlines zimetolewa na kituo kikubwa cha habari CNN kuripoti kutengenezwa kwa magari next level na kampuni ya NextEV ya China ambapo ni magari yanayotumia umeme na sio mafuta kama ilivyozoeleka.
Magari hayo yanatumia battery ambazo zinachajiwa na umeme na kukaa na charge ndani ya muda fulani na kutajwa kama magari yenye speed kubwa yanayotumia umeme kuliko yote duniani na kutegemewa kuingia sokoni hivi karibuni , nakusogezea picha za magari hayo hapa chini ujionee.
161202090402-next-ev-11-exlarge-169
Ferrari Laferrari
161202090413-next-ev-10-exlarge-169
McLaren’s P1
161202090456-next-ev-9-exlarge-169
Porsche
161202091900-next-ev-8-exlarge-169
Qiantu
161202092142-next-ev-7-exlarge-169
Qiantu
161202092218-next-ev-6-exlarge-169
TechRule’s AT96 TREV
161202092901-next-ev-3-exlarge-169
BAIC ArcFOX-7
161202092932-next-ev-2-exlarge-169
NIO EP9
161202093032-next-ev-1-exlarge-169
NIO EP9
VIDEO: Idadi ya magari yanayotumia private number Arusha imetajwa, Bonyeza Play hapa chini kutazama

No comments:

Post a Comment