HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Tuesday, 26 August 2014

HTC 1


Nokia Lumia 930 review: Iconic once again


Nokia Lumia 930 review: Iconic once again

GSMArena team, 28 July 2014.

Introduction

It may be a new house, new rules - but no sharp movements just yet. In the aftermath of Microsoft's recent acquisition of Nokia's devices and services department, it's really anyone's guess what will happen with the Finnish company that was once at the apex of the industry. There's no question marks hanging over the Lumia lineup though - it is going strong, and the Lumia 930 alongside the Windows Phone 8.1 update is proof that it's here to stay, be it under a new leadership.
The Lumia 930 was released in the US as the Nokia Lumia Icon this past February running Windows Phone 8, and after working the kinks out with the Windows Phone 8.1 update for it, Nokia is launching the international version right to the latest software.

Nokia Lumia 930
Besides supporting some different LTE bands, the Lumia 930 is identical to the Icon. It does come with some nifty extras, however, as Nokia is trying to entice users by throwing in a wireless charging pad with dedicated A/C adapter, as well as some different paint jobs. Here's a look at what you get with the Nokia Lumia 930:

Key features

  • 5" 16M-color ClearBlack AMOLED display of FullHD resolution, Gorilla Glass 3
  • 2.2 GHz quad-core Krait 400 CPU, Adreno 330 GPU, Qualcomm MSM8974 Snapdragon 800 chipset, 2GB of RAM
  • Windows Phone 8.1 OS with Nokia Cyan
  • 20MP PureView camera with 1080p@30fps video recording, Carl Zeiss optics, optical image stabilization
  • 1.2MP front-facing camera with 720p video recording
  • 32GB of inbuilt storage
  • Free offline lifetime voice-guided navigation worldwide with Drive+
  • Nokia Music streaming service
  • 15GB of free OneDrive storage
  • FM Radio
  • Li-Ion 2,420 mAh battery
  • Wireless Charging Plate DT-900 included in retail package
  • Aluminum frame

Main disadvantages

  • No 2160p video recording
  • No microSD card slot
  • No headset included in the retail package
As far as recent flagship offerings go, the 930 does leave a bit to be desired. We would have liked to see a more recent Snapdragon 801 chip inside, and the lack of expandable storage and 2160p video recording make the 930 feel like it's falling behind competitors' flagships. Still, Nokia phones have traditionally relied on other strengths to set them apart, and the Lumia 930 may do enough there to give it the edge. There's also the new Windows Phone 8.1 update with Nokia Cyan to consider.
Windows Phone 8.1 has finally caught up to the competition and offers some long-awaited features such as Action Center with notification and quick toggles, customizable tile size and Start screen background, the Cortana voice assistant, Quiet Hours mode, and a swipe-able keyboard among many others. We'll get into the details in a bit.
Nokia Lumia 930 Nokia Lumia 930 Nokia Lumia 930 Nokia Lumia 930
Nokia Lumia 930 in our studio
We'll be looking at the updated software interface a bit further on in the review. Up next, we get things underway with our traditional hardware examination, including a look at its stylish metal frame and 1080p C

DIMPOZ AWACHANGANYA JOKATE, VENESSA MDEE!

DIMPOZ AWACHANGANYA JOKATE, VENESSA MDEE!

Acha kabisa! Habari ya mjini katika ulimwengu wa mastaa wa Kibongo ni madai ya Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuwachanganya kimalovee, mastaa wenzake, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Vanessa Mdee ‘Van V’ au V-Money,

Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ akipozi kimahaba na Vanessa Mdee, 'V-Money'.
Kikizungumza na gazeti hili namba moja kwa habari za mastaa Bongo, chanzo makini kilisema Jokate na Vanesa kwa sasa ni kama chui na paka kufuatia hivi karibuni Jokate kudaiwa kuingilia penzi la mwanzake na mpaka sasa eti ndiye aliyeshikilia usukani.
“Sasa hivi Jokate na Ommy ni mahaba niue kwani mara nyingi wanakuwa pamoja.
“Hadi Jokate anakwenda geto kwa Ommy jambo ambalo limesababisha yeye na V-Money kutoelewana kwani awali ndiye alikuwa kiburudisho cha Ommy,” kilidai chanzo hicho.
Baada ya kuzinyaka habari hizi, mwanahabari wetu alimtafuta mhusika mkuu Ommy Dimpoz ambaye alikuwa na haya ya kusema:

Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ akishow love na Jokate Mwengelo ‘Kidoti’.
“Ehee! Ndiyo nasikia kwako, kwani wasanii haturuhusiwi kupendana jamani, hata Mwalimu Nyerere (Baba wa Taifa) alisema tuwe pamoja kwa hiyo Jokate ni rafiki yangu wa karibu na huyo Vanessa sijawahi kuwa na uhusiano naye but (lakini) alikuwa mshikaji tu.”
Juhudi za kuwapata Jokate na Vanessa ziligonga mwamba baada ya simu zao kuita bila kupokelewa hivyo jitihada zinaendelea ili kila mmoja aeleze la moyoni mwake.Juzikati picha za Jokate na Ommy wakiwa kimahaba zilizagaa kwenye

Friday, 22 August 2014

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUHUSU BASI LILILOPIGWA BOMU MKOANI KIGOMA NA WATU WANAOSADIKIWA KUWA NI MAJAMBAZI KUTOKEA BURUNDI


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu


WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kulirushia bomu basi dogo la abiria.

Tukio hilo la kutisha lilitokea jana katika Kijiji cha Kilelema, Kata ya Kilelema, Wilaya ya Buhigwe mkoani    Kigoma.

Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, dereva wa basi hilo   namba   T 570 CBE, Benedict Emmanuel, alisema basi lake lilipigwa bomu jana saa 12:15 alfajiri   alipokuwa akitoka Kilelema kwenda mjini Kasulu.

“Kabla ya kupigwa bomu hilo, tulifika katika pori la Kasesema ambalo lina historia ya matukio ya uhalifu kwa kipindi kirefu.

“Tulipofika katika pori hilo lililoko Kilelema, niliona kwa mbali watu wawili wakiwa wamesimama barabarani. Kwa hiyo nilichokifanya, niliwawashia taa kali nikidhani ni watu wa kawaida.

“Mmoja kati yao, alikuwa mbele kidogo kwenye kona, nikaona kama ana silaha  lakini sikumjali sana, kwa hiyo nilijipa moyo ili niwapite kwa kasi.

“Wakati nikiendelea kuwafikiria watu hao, ghafla niliwafikia na hapo nikasikia mlio mzito kama wa bomu limepigwa nyuma ya basi upande wa kushoto.

“Yaani nilichanganyikiwa, nikataka kusimama, lakini abiria wangu wakasema ongeza spidi hao ni majambazi wametupiga bomu,” alisema Benedict na kuongeza:

“Nilikanyaga mafuta kwa nguvu nikafanikiwa kuwaacha mbali hadi nilipofika katika Kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)   Migongo nikasimama.

“Nilipofika hapo kambini tukakuta abiria wawili wamefariki dunia na mmoja hali yake ilikuwa mbaya sana.

“Kwa hiyo, tulitoa taarifa kwa mkuu wa kambi hiyo ya jeshi naye akawapigia simu polisi ambao walikuja na taratibu za kuwapeleka majeruhi katika Hospitali ya Wilaya ya Kasulu zikafanyika,” alisema.

Kwa mujibu wa Benedict, eneo walipopigiwa bomu ni la hatari kwa kuwa wahalifu kutoka Burundi huteka magari ya abiria mara kwa mara.

“Eneo hilo ni la hatari kwa sababu Warundi wanafanya uhalifu mara kwa mara na wanapomaliza kufanya hivyo, wanarudi kwao kwa sababu hapo ni jirani sana na Burundi,” alisema.

Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Kilelema, Benedicto Mahuta, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Buhigwe, SamwelI Utonga, alithibitisha kutokea   tukio hilo.
Alisema watu hao wanaosadikiwa ni majambazi, mara nyingi hutokea   Burundi.

“Ni kweli kuna basi   ya Hiace imepigwa bomu na watu wanaosadikika kuwa ni majambazi kutoka Burundi.

“Eneo lilikotokea tukio hilo ni hatari kwa sababu matukio ya uhalifu yanatokea mara kwa mara na abiria huporwa mali kwa kutumia silaha.

“Lakini bado tunaendelea na upelelezi kuangalia namna ya kuwapata watu hao,” alisema Utonga.

Kwa muda mrefu Mkoa wa Kigoma umekuwa ni kati ya mikoa inayoripotiwa kuwa na matukio ya uhalifu wa kutumia silaha unaodaiwa kuhusisha raia wa nchi za Burundi, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC).

Kutokana na hali hiyo, viongozi wa Serikali ya Tanzania na nchi hizo  wamekuwa wakikutana mara kwa mara  kujadili jinsi ya kukabiliana na wahalifu hao.

Mtanzania