HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Monday 23 May 2016

Picha: Adele afunika tuzo za Billboard

winners-main
Mastaa waliohudhuriw=a ni pamoja na Rihanna, Britney Spears, Wiz Khalifa, Lady Gaga, Celine Dion, Priyanka Chopra na wengine wengi.
Pia kwenye tuzo hizo msanii kutoka Uingereza, Adele alifanikiwa kuchukuwa tuzo ya Top Artist akiwazidi Drake, Justin Bieber, Taylor Swift na The Weeknd, lakini pia ameweza kuchukuwa tuzo tano huku msanii The Weeknd akiongoza kwenye tuzo hizo kwa kuchukuwa tuzo nane. Wasanii wengine waliofanikiwa kuchukuwa tuzo hizo ni pamoja na Wiz Khalifa, Mick Mell, T-Mobile Arena, Taylor Swift, Justin Bieber, One Direction, Thomas Rhett, Rihanna na wengine.

34827CD400000578-3595583-Retro_chic_Rihann_s_dress_was_vintage_Thierry_Mugler_and_she_wor-m-481_1463965452431
3482642F00000578-3595583-image-a-298_1463961227671
Mila Kunis akiwa na Kristen Bell and Kathryn Hahn
Britney
Celine
Celine Dion akiwa Charles Angelil
34823E7F00000578-3595583-image-m-200_1463959472601
Aliyewahi kuwa Miss dunia mwaka 2000, Priyanka Chopra
3482767E00000578-3595583-image-a-445_1463964239703
3482729800000578-3595583-image-m-337_1463961944624
348202F900000578-3595583-The_beauty_who_is_engaged_to_NFL_star_Russell_Wilson_was_joined_-a-141_1463958358997
Ciara akiwa na mchumba wake Russell Wilson

Jiunge na Bongo5.com sasa

No comments:

Post a Comment