HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Wednesday 18 May 2016

Picha,Meli ya abiria kubwa zaidi duniani imekamilika

Watengenezaji wa meli wamesema hii ndio meli kubwa zaidi duniani itakayokuwa ikibeba abiria. Meli hii imepewa jina la Harmony of the Seas. Inawafanya kazi 3,000,inauwezo wa kuchukua abiria 6780,  kwa wiki kutembea na hii meli ni £900 kwa mtu mmoja, ila kwenye eneo la bata ni £2,760 kwa mtu mmoja.
Watengenezaji wa meli hii wanasema imechukua miezi 32 kujenga meli hii ya Harmony of the Seas, ni meli ya 25 kwenye meli za Royal Caribbean International fleet.
ship 000
17M_NEWS Harmony Of The Sea Cruise Ship FINISHED 2 ship 1 ship 2 ship 3 ship 4 ship 6 ship 7 ship 8 ship 9 ship 10 ship 11 ship 12 ship 17 ship 18 ship 19 ship 20
ship 22

No comments:

Post a Comment