HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Wednesday 25 May 2016

Video: Unamkumbuka mrembo aliyempata Nuh baada ya kuachana na Shilole? Wameachana lakini kuna kitu bado kinawaunganisha

Unamkumbuka yule msichana mrembo ambaye Nuh Mziwanda alimpata muda mfupi tu baada ya kuachana na Shilole? Okay, wawili hao hawapo pamoja tena lakini wana kitu muhimu wanashare.
Mziwanda-new-4
“Yule alikuwa girlfriend wangu lakini kuna kushindwana kitabia, nipo naye lakini tunachokifaya niwe naye siwezi kukisema lakini ni mtu ambaye bado tunawasiliana kwasababu kuna jambo linanifanya lazima niwasiliane naye. Lakini yeye anaendelea na mishe zake na mimi naendelea na mishe zangu,” Nuh ameiambia Bongo5.

No comments:

Post a Comment