“Yule alikuwa girlfriend wangu lakini kuna kushindwana kitabia, nipo naye lakini tunachokifaya niwe naye siwezi kukisema lakini ni mtu ambaye bado tunawasiliana kwasababu kuna jambo linanifanya lazima niwasiliane naye. Lakini yeye anaendelea na mishe zake na mimi naendelea na mishe zangu,” Nuh ameiambia Bongo5.
Wednesday, 25 May 2016
Video: Unamkumbuka mrembo aliyempata Nuh baada ya kuachana na Shilole? Wameachana lakini kuna kitu bado kinawaunganisha
Unamkumbuka yule msichana mrembo ambaye Nuh Mziwanda alimpata muda
mfupi tu baada ya kuachana na Shilole? Okay, wawili hao hawapo pamoja
tena lakini wana kitu muhimu wanashare.

“Yule alikuwa girlfriend wangu lakini kuna kushindwana kitabia, nipo naye lakini tunachokifaya niwe naye siwezi kukisema lakini ni mtu ambaye bado tunawasiliana kwasababu kuna jambo linanifanya lazima niwasiliane naye. Lakini yeye anaendelea na mishe zake na mimi naendelea na mishe zangu,” Nuh ameiambia Bongo5.
“Yule alikuwa girlfriend wangu lakini kuna kushindwana kitabia, nipo naye lakini tunachokifaya niwe naye siwezi kukisema lakini ni mtu ambaye bado tunawasiliana kwasababu kuna jambo linanifanya lazima niwasiliane naye. Lakini yeye anaendelea na mishe zake na mimi naendelea na mishe zangu,” Nuh ameiambia Bongo5.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment