HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 25 June 2016

Taarifa iliyotolewa leo kuhusu mlipuko wa ugonjwa usiofahamika Dodoma


June 19 2016, Wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia na watoto ilitoa taarifa kuhusu kuwepo kwa ugonjwa usiofahamika katika wilaya za Chemba na Kondoa, mkoani Dodoma ambapo wakati huo kulikuwa na jumla ya wagonjwa 21 na vifo 7.
Leo June 25 2016 Waziri Ummy Mwalimu ametoa taarifa kwamba idadi ya wagonjwa imefikia 32 na idadi ya vifo imebakia 7 hii ni baada ya kuongezeka kwa wagonjwa 11 katika kipindi cha wiki moja.
Waziri Mwalimu amesema Wizara ifanya jitihda mbalimbali za kutambua kiini cha ugonjwa huo baada ya kupeleka jopo la wataalamu ili kufanya uchunguzi wa kina pia ameeleza kuhusu sampuli zilizofanyiwa utafiti…….

No comments:

Post a Comment