![](https://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2016/06/AW1A1864.jpg?resize=660,400)
June 4 2016 timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ilicheza mchezo wake wa tatu wa Kundi G wa kuwania kufuzu michuano ya mataifa Afrika 2017 AFCON dhidi ya timu ya taifa ya Misri uwanja wa Taifa Dar es Salaam, mchezo ulimalizika kwa Misri kuibuka na ushindi wa goli 2-0, magoli ambayo yalifungwa na Mohamed Salah dakika ya 43 na 5
ALL GOALS: Azam FC Vs Esperance ya Tunisia April 10 2016 (Full Time 2-1)
No comments:
Post a Comment