HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Tuesday 5 July 2016

Diamond Platnumz katoa sababu ya kuwa na picha ya AliKiba kwenye ofisi za WCB.


Entertainment


Akiongea na Clouds FM kupitia >>Perfect Crispin<< alitoa kauli hii….
Diamond alisema Unajua ofisi ya WCB sio ya Diamond Platnumz sio ya Harmonize sio ofisi ya wakina Tale ni ofisi ya Muziki wa Bongo Fleva ambayo imekuwepo kuleta maendeleo kwenye muziki wetu, kwahiyo nimeamua kuweka zile  picha za mastaa ikiwemo ya Alikiba  kwamba ndio wasanii wenye mchango kwenye muziki wetu

No comments:

Post a Comment