HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Thursday 7 July 2016

EXCLUSIVE: Nyumba ya milioni 700 wanayoijenga Navy Kenzo

Navy Kenzo ni kundi la muziki wa bongofleva lenye makazi yake Dar es salaam likiundwa na Wanandoa watarajiwa, Aika na Nahreel ambapo hivi juzi walipata dili la kutokea kwenye mabango ya matangazo ya kampuni ya simu.
Ni wasanii ambao pia wamezikusanya pesa zao kutokana na jasho la muziki wanaoufanya ikiwemo tour ya kamatia chini ambayo ni smash hit yao iliyohewani sasa hivi, tazama hii video hapa chini kupata details zote.

No comments:

Post a Comment