HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Tuesday 23 August 2016

Alikiba alivyoingia kwa surprise kwenye tamasha la Fiesta Mwanza

Ni August 20, 2016 ambapo wakazi wa mkoa wa Mwanza walipata burudani kali kupitia tamasha la Fiesta ambalo liliwakutanisha wasanii wa Bongo Fleva na mkali kutokea Nigeria Wizkid kwenye jukwaa moja viwanja vya CCM Kirumba.
Sasa miongoni wasanii waliotoa burudani jukwanii ni hii ya Alikiba alivyoingia kwa suprise huku watu hawakutegemea kama hata ni miongoni mwa watakapanda jukwaani.
Itazame hii video hapa
ULIKOSA ALICHOKISEMA BARAKA DA PRINCE KUHUSU WALIOSEMA AMESHINDWA KUONGEA KIINGEREZA BASI MSIKILIZE HAPA

No comments:

Post a Comment