HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Wednesday 31 August 2016

Breaking news: CHADEMA wasitisha maandamano ya UKUTA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesitisha maandamano ya UKUTA
 ambayo yalipangwa kufanyika Septemba 1 (kesho) baada ya kupokea maoni mbalimbali 
kutoka kwa viongozi wa dini.
ukuta.
Akiongea na waandishi wa habari muda huu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema chama kimeona kisitishe maandamano
 kwa muda ili kiwaachie viongozi wa dini watafute suluhu kuhusu suala hilo.
“CHADEMA tunaomba kuwatangazia watu wote kwamba tunahairisha mikutano ya kisiasa
 na maandamano yote kwa muda wa mwezi mmoja,” alisema Freeman Mbowe

No comments:

Post a Comment