HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Tuesday 23 August 2016

Diamond Platnumz na Ali Kiba kwenye tuzo za Afrima 2016,wanashindania ‘Best Male Artist in Eastern Africa’.


Tuzo za AFRIMA 2016zimewania na Tanzania imeweka mastaa tofauti akiwemo Diamond na Ali kiba. Tuzo hizi zitatolewa November 2016 mjini Lagos, Nigeria.
Diamond Platnumz na Alikiba watachuana mwaka huu kuwania kipengele cha Best Male Eastern Africa kwenye tuzo hizi za All Africa Music [Awards] 2016.
Diamond na Ali Kiba wana wania tuzo hizi pamoja na mastaa kama Bebe Cool, Eddy Kenzo, Jose Chameleone na Navio wa Uganda.
tz 1 tz 2

No comments:

Post a Comment