HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 24 September 2016

Clinton ambuluza Trump kwenye kura za maoni



Hillary Clinton ameongoza kwa pointi 6 zaidi dhidi ya mpinzani wake Donald Trump wakati wakielekea kuchuana kwenye mdahalo wa kwanza Jumatatu ijayo.
Clinton, Trump pick up big wins
Kura hizo za nchi nzima zimetolewa Ijumaa hii. Kura za McClatchy-Marist zilionesha kuwa Clinton ana 45% huku Trump akiwa na 39%.
Wiki hii kura za maoni za Wall Street Journal/NBC zilionesha Clinton anaongoza kwa 43% dhidi 37% za mpinzani wake. Clinton anaendelea kuwa na kura nyingi zaidi kutoka kwa wapiga kura weusi akiwa na asilimia 93% na Trumo 3%.
Clinton pia ana wapiga kura wengi walatino kwa asilimia 74% dhidi ya 16% za mpinzani wake.

No comments:

Post a Comment