HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Friday 2 September 2016

Mrembo anayedai kutishiwa bunduki na Chris Brown ana historia ya udokozi!


Mlimbwende wa kizungu anayemshutumu Chris kuwa alimtishia bunduki usoni, ana historia ya udokozi na anatafutwa kwa wizi kwenye hoteli ya The Plaza.
baylee-curran-chris-breezy
Baylee Curran, 25, alishtumiwa kumuibia rafiki yake, Rachel Getachew, 29, begi lake la Louis Vuitton likiwa na wallet ya Michael Kors ya $1,000 pamoja na fedha taslimu $200. Tukio hilo lilitokea mwaka 2013.
Jumanne, Curran alimshutumu Chris Brown kumtishia bunduki nyumbani kwake. Brown alikamatwa baada ya polisi kuizunguka nyumba yake kwa madai ya kutishia kwa silaha nzito.
Yupo nje kwa dhamana ya $250,000.

No comments:

Post a Comment