HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Monday 3 October 2016

Alikiba na Vanessa Mdee kutumbuiza na Chris Brown Mombasa

.
vanessa
Alikiba na Vanessa Mdee watapanda jukwaa moja na nyota wa muziki wa RnB nchini Marekani, Chris Brown
Wawili hao watatumbuiza pamoja na Chris Brown, Oktoba 8, mwaka huu kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music.
“Mombasaaaaaa it’s ME N U this weekend. @mombasarocksfestival 👌💜🎤👑 #Juu #Niroge,” ameandika Vanessa kwenye Instagram.
Nyota wa Nigeria, Wizkid naye atatumbuiza kwenye tamasha hilo kubwa.

No comments:

Post a Comment