HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 8 October 2016

VIDEO: Chris Brown alivyowasili hotelini baada ya kutua Mombasa……

cuphnqewgaaruso

breezy


Mwimbaji staa kutoka Marekani Chris Brown amewasili Mombasa nchini Kenya kwa ajili ya kutumbuiza leo October 8, 2016 kwenye tamasha lililopewa jina la Mombasa Rocks Festival ambapo jukwaani atasindikizwa na wakali akiwemo Alikiba, Vanessa Mdee, Navio, na wengineo.
Itazame hii video hapa ujionee jinsi alivyowasili Hotelini baada ya kutua Mombasa nchini Kenya

No comments:

Post a Comment