HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 19 November 2016

Video,Biashara nyingine atakayoanzisha


Manukato itakuwa biashara nyingine atakayokuwa fanya bongo fleva super staa kutoka Tanzania Diamond Platnumz.
Kwa sasa amejiunga na mastaa kama Jennifer Lopez na Nicki Minaj ambao tayari wana manukato yao na kila siku wanatengeneza pesa kwa kubuni manukato mengine na kuingiza sokoni kwaajili ya mashabiki zao.
Diamond Platnumz anaelekea kuingiza sokoni manukato yake yatakayoitwa #ChibuPerfume #TheScentYouDeserve , Endelea kufuatilia

No comments:

Post a Comment