HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Tuesday 24 January 2017

PICHA : Kwa mwaka hii ndio miji ya gharama zaidi kuishi dunian 2017


Wakati watu mbalimbali  Tanzania wakilalamika hela imepotea, leo nimekutana na miji ambayo ni gharama zaidi kuishi mwaka 2017 Duniani kutokana na soko la Nyumba kuwa juu zaidi duniani.
1. Hong Kong, China
2. Sydney, Australia
3. Vancouver,  Canada
4. Auckland, New Zealand
5. San Jose, Marekani
6. Melbourne, Australia
7. Honolulu, US
8. Los Angeles, Marekani
9. San Francisco, Marekani
10. Bournemouth & Dorset, Uingereza

No comments:

Post a Comment