HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Tuesday 24 May 2016

Drake anajenga nyumba kubwa mno kwao Toronto kiasi ambacho halmashauri itakaa kuamua iwapo aruhusiwe

Drake anajenga jumba kubwa la kifahari ambalo ukubwa wake umeufanya uongozi wa Toronto ukae chini kujadiliana iwapo aruhusiwe kuendelea na ujenzi.
13108724_727100560765504_1238839032_n

Mkutano huo utafanyika May 26 kupitia iwapo watampa ruhusa ya kuporomosha kasri lake. Mipango ya ujenzi wa nyumba hiyo ni mikubwa kuliko sheria ya Toronto inavyoruhusu.
Drake aliwasilisha mipango ya kujenga nyumba yenye ukubwa wa futi za mraba 21,000 ambako tayari ametumia zaidi ya dola milioni 6 kwenye eneo hilo lenye heka 2.
Ndani ya nyumba hiyo kutakuwa na uwanja wa kikapu, bwawa la kuogelea, jumba la sinema, jumba la makumbusho kuweka vitu vyake na vingine.

No comments:

Post a Comment