HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Thursday 16 June 2016

Ibrah Da Hustler adai Jokate ndiye msichana anayempenda ‘She is so fly, she got nice lips



Rapper wa kundi la Nako 2 Nako, Ibrah Da Hustler amesema staa wa kike anayetamani kuwa na uhusiano naye ni Jokate Mwegelo.
Jokate
Hustler amesema Jojo ana kila sifa anazozitaka kutoka kwa mwanamke. Na kiukweli amemmwagia sifa za kumwaga.
“Choice yangu mimi kama kudate na kastaa ka Bongo katakuwa kale kabinti kanachoitwa Jokate Mwegelo, she is fly meeen, I like her height, she got nice lips, she is so cute,” Ibrah alimuambia mtangazaji wa Jembe FM, JJ.
“Napenda smile yake, napenda style yake, napenda kila kitu chake, jinsi anavyoongea, anavyotembea, she is so high above the sea level, true say, no lie, mtoto mkali sana yaani,” aliongeza.
“Jokate Mwegelo you got me on my zone girl.”
Msikilize hapo chini.
Jokate ameupata ujumbe wa Ibrah na alikuwa na haya ya kusema:

No comments:

Post a Comment