HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Thursday 16 June 2016

Picha: Rihanna kuzindua perfume yake mpya mwezi Agosti




Msanii Rihanna ambaye kwa sasa anafanya vizuri katika mitindo na viatu vyake vya ‘Puma clippers’ na ‘Trainer’ akiwa ameshirikiana na kampuni ya Puma alitangaza ujio wa perfume yake mpya aliyoipa jina la ‘Crush.’ Alitangaza kuwa June 14 kuwa itaingia sokoni mwezi Agosti mwaka huu.
riri2
riri
Rihanna kwa sasa ameamua zaidi kujikita kwenye mitindo ambapo amepanga kuzindua ‘Fenty Beauty by Rihanna’ mwakani, 2017.

No comments:

Post a Comment