HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 18 June 2016

Mtoto wa T.I akamatwa kwa kosa la kubeba silaha bila kibali



Mtoto wa kufikia wa rapper wa Marekani, T.I anayejulikana kwa jina la Zonnique Pullins alikamatwa siku ya Alhamisi kwenye uwanja wa ndege wa Hartsfield-Jackson Atlanta International Airport kwa kosa la kubeba silaha bila kibali.
02a41cbd1ae9e24aa9bc7871c95742d2
Zonnique Pullins (20) ambaye mama yake mzazi ni Tiny Harris alikamatwa baada ya kuonekana kwenye mitambo ya X-ray kuwa amebeba silaha hiyo na alipelekwa kwenye kituo cha Clayton County, lakini aliachiwa kwa dhamana siku ya Ijumaa.
Binamu yake na Zonnique Pullins, kupitia akaunti yake ya instagram aliandika:
My boo got the cutest mugshot in the game. Let me just clear a couple things up for you guys . Zonnique did get caught with her registered weapon but like most of us she just forgot it was in her really big purse. We were taught in my family that people are crazy out here and carrying a small gun to protect yourself is what’s needed . With the late shootings and death of a pop star all in Orlando just this week , I think it’s very appropriate that she carries a gun just not to the airport maybe lol. But my girl is home and good so please don’t start with the ignorant rumors , she was home and handled before you even heard about it. Zonnique has great parents that made sure she was okay from the moment she was caught. Not all celebrities keep security on them 24/7 they have to protect themselves just like regular people and we all have learned even security can’t always protect you . Her mugshot is still cute as hell lol
Hivi karibuni nchi ya Marekani imekumbwa na mauaji mengi ya watu waliouawa kwa silaha.

No comments:

Post a Comment