HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Monday 27 June 2016

Ripoti: AKA aligoma kupanda jukwaani kwenye utoaji tuzo ya Best International Act: Africa

Drama kwenye tuzo za BET ziliendelea tena mwaka huu. Kama kawaida, Wizkid alizipa mikausho mikali kwa si tu kwa kugoma kwenda kama wengine, bali hata kuzizungumzia kabisa. Lakini imebainika pia kuwa AKA na Yemi Alade walitoa mikausho yao. Yemi hakwenda kwenye utoaji wa tuzo katika vipengele vya Best International Act: Afrika na UK. Lakini AKA yeye anadaiwa kuwa alikuwepo ukumbini hapo lakini hakupanda jukwaani kama wengine.

No comments:

Post a Comment