HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Tuesday 7 June 2016

VIDEO: Milioni 40 zinapotea kwa siku moja kutokana na watumishi hewa wa bungeni



Wakati bunge likisubiri kuanza kusomwa kwa bajeti kuu June 8 2016 nakukutanisha na mahojiano yanayoendelea kwa sasa, Mbunge wa jimbo la Nkasi kaskazini Ally Keissy ametusaidia kuipata takwimu ya kiwango cha fedha zaidi ya milioni 40 kinachopotea kutokana na watumishi hewa bungeni.

No comments:

Post a Comment