HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Friday 8 July 2016

Tecno Camon C9 yaingia sokoni kwa kishindo



Simu kali ya Tecno Camon C9 yenye uwezo wa hali ya juu katika kupiga picha ikiwa na Camera mbili (Mbele na nyuma) za Megapixel 13, uwezo wa 4G LTE na teknolojia mbali mbali za kisasa imeingia rasmi sokoni. Simu hii ni miongoni kwa simu za kisasa kuingizwa nchini, na inapatikana kwa bei ya kawaida ya Tsh.400,000
Tecno C9 Banner

No comments:

Post a Comment