HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Saturday 20 August 2016

PICHA 10: Imetolewa list ya miji 10 Duniani ambayo ni bora zaidi kwa kuishi


Economist Intelligence Unit wamefanya utafiti kuhusiana na Miji mikubwa Duniani ambayo ni bora na inafaa zaidi kushi kwa 2016. 
Ripoti ya utafiti huu imetolewa August 18 2016 ambapo utafiti ulizingatia mambo 30 ambayo yanayohusisha usalama, huduma za afya, rasilimali za elimu na miundombinu. Ripoti imeonyesha kwa mwaka wa sita mfululizo, mji kutoka Australia umeongoza kwenye miji bora zaidi kwa kuishi Duniani. 
Aidha ripoti hiyo imeonyesha mji wa Lagos, Nigeria umekuwa nafasi ya tatu Duniani ya miji mibaya kwa kuishi.
10. Hamburg, Germany
1
9. Helsinki, Finland
9
8. Auckland, New Zealand
8
7. Perth, Australia
7
=5. Adelaide, Australia
6
=5. Calgary, Canada
5
4. Toronto, Canada
4
3. Vancouver, Canada
3
2. Vienna, Austria
2
1. Melbourne, Australia
10

No comments:

Post a Comment