HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Sunday 18 September 2016

Diamond kumsaini msanii wa nje ya Tanzania, WCB



Diamond Platnumz amethibitisha kuwa kwa yupo kwenye mipango ya kuongeza nguvu kwenye lebo yake ya WCB kwa kumsaini msanii wa nje ya Tanzania
.
14063607_1600205776943920_1390840306_n
Hitmaker huyo wa Kidogo amesema hayo wakati akijibu swali la shabiki kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “WCB hamjafikiria kusaini msanii nje ya Tanzania au mtafanya?”
Diamond alijibu swali hilo kwa kuandika, “Soon.”
diamond-1
diamond
Aidha muimbaji huyo amesema kuwa kolabo za wasanii wake wa WCB ambazo wamefanya na wasanii wa nje zipo tayari.

No comments:

Post a Comment