HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Sunday 16 October 2016

Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016


Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye
 tuzo za  Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.
afrimma
Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize
Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.“Team Tanzania Mungu
ni mwema siku zote,” ameandika Harmonize baada ya ushindi huo.
14723585_204730183290000_6229108837392056320_n
Harmonize akiwa na Akothee aliyeshinda tuzo ya msanii bora wa kike Afrika
 Mashariki na  Willy M Tuva Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.

No comments:

Post a Comment