HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Sunday 16 October 2016

Maneno ya Diamond kwa Harmonize baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA


Tuzo za AFRIMMA ambazo hutolewa kila mwaka kwa Waafrika mbalimbali waliofanya 
vizuri kwenye sekta mbalimbali hasa za burudani, zimetolewa Dallas Texas Marekani 
leo ambapo kwenye list yote Watanzania walioshinda ni watatu.
Watanzania walioshinda ni Dj D Ommy wa CloudsFM kupitia show mbalimbali
ikiwemoXXL na AMPLIFAYA ambapo ameshinda tuzo ya Dj bora Afrika,
mwimbaji Harmonize akishinda tuzo ya msanii bora chipukizi Afrika 
2016 huku Diamond Platnumzakishinda ya msanii bora wa kiume Afrika Mashariki.
Sasa miongoni waliotoa pongezi kwa Harmonize ni Diamond Platnumza ambae kupitia i
nstagram alipost picha na kuyaandika haya>>>>hii picha inanikumbusha mwaka jana
 ulipokuja nipokea airport kutokea@afrimma …ukaniuliza “hivi ipo siku nami 
nitachaguliwa tunzo yoyote ya kimataifa”….nikakwambia “Ukifanya kazi kwa bidii’
‘Ukimuheshimu kila mtu, ukamuamini na kumuomba Mwenyez Mungu basi 
Mollah atakufungulia ndoto zako….na leo hii kweli Tunafurahia Ushaindi wako
 wa Msanii Bora Chipkizi Africa….. Hongera sana @harmonize_tzna shukra sana sana
Mashabiki zetu pendwa kwa kura na @Afrimmakwa kuendelea
                      kuvinyanyua vipajia vyaAfrica

 🙏

No comments:

Post a Comment