HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Monday 10 October 2016

Video: Alikiba adai ana wasiwasi alifanyiwa ‘figisu figisu’ kwenye tamasha la Mombasa Rocks


14583290_1432447270118773_1063408828470525952_n

Hatimaye Alikiba ameeleza sababu ya kukatizwa kwa show yake kwenye tamasha la Mombasa Rocks ambalo Chris Brown pia alitumbuiza.


Kwenye tamasha hilo, Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia kuonekana kupata mushkeli/kuzimwa na kumlazimu kuondoka jukwaani.
Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Willy Tuva akiwa bado Mombasa, Alikiba amedai kuhusi kufanyiwa hujum

No comments:

Post a Comment