HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Monday 10 July 2017

diamond Platnumz - Alivyoshtukiza kwenye Harusi ya Professorjay

Rapper na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay’ July 8, 2017 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Grace ambaye walidumu katika uchumba kwa miaka 13 ambapo watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wasanii walialikwa.
Moja ya mambo yaliyofurahisha katika tukio hilo ni surprise ya mwimbaji staa wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye alitumbuiza…bonyeza PLAY kwenye VIDEO hii kutazama!!!

No comments:

Post a Comment