HUBATI.COM








THANK YOU FOR YOUR VISIT               

Translate

Search This Blog

Monday, 23 May 2016

Picha: Adele afunika tuzo za Billboard

winners-main
Mastaa waliohudhuriw=a ni pamoja na Rihanna, Britney Spears, Wiz Khalifa, Lady Gaga, Celine Dion, Priyanka Chopra na wengine wengi.
Pia kwenye tuzo hizo msanii kutoka Uingereza, Adele alifanikiwa kuchukuwa tuzo ya Top Artist akiwazidi Drake, Justin Bieber, Taylor Swift na The Weeknd, lakini pia ameweza kuchukuwa tuzo tano huku msanii The Weeknd akiongoza kwenye tuzo hizo kwa kuchukuwa tuzo nane. Wasanii wengine waliofanikiwa kuchukuwa tuzo hizo ni pamoja na Wiz Khalifa, Mick Mell, T-Mobile Arena, Taylor Swift, Justin Bieber, One Direction, Thomas Rhett, Rihanna na wengine.

34827CD400000578-3595583-Retro_chic_Rihann_s_dress_was_vintage_Thierry_Mugler_and_she_wor-m-481_1463965452431
3482642F00000578-3595583-image-a-298_1463961227671
Mila Kunis akiwa na Kristen Bell and Kathryn Hahn
Britney
Celine
Celine Dion akiwa Charles Angelil
34823E7F00000578-3595583-image-m-200_1463959472601
Aliyewahi kuwa Miss dunia mwaka 2000, Priyanka Chopra
3482767E00000578-3595583-image-a-445_1463964239703
3482729800000578-3595583-image-m-337_1463961944624
348202F900000578-3595583-The_beauty_who_is_engaged_to_NFL_star_Russell_Wilson_was_joined_-a-141_1463958358997
Ciara akiwa na mchumba wake Russell Wilson

Jiunge na Bongo5.com sasa

Diamond anyesha mvua ya hela kwenye birthday ya mtoto wa Aunty Ezekiel (Video)

Aunty Ezekiel alitamani angeenda na mwavuli kujikinga na mvua ya hela iliyomnyeshea juzi kwenye birthday ya kutimiza mwaka mmoja ya mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo. Ni Diamond ndiye aliyesababisha mafuriko ya noti yaliyomfanya muigizaji huyo apagawe! Check video hiyo ujionee mwenyewe.

Sunday, 22 May 2016

Video,Show Ya Ali Kiba Kwenye ‘Naamka Tena Concert’ Ya Lady Jay Dee,shangwe la Wema sasa.. By Fahamu TV | May 22, 2016

Hii ni Video fupi ya Show Ya Ali Kiba Kwenye ‘Naamka Tena Concert’ Ya Lady Jay Dee,kwenye video anaonekana akiimba Aje, kawataja Lulu na Wema Sepetu, shangwe la Wema alivyotajwa,
Bonyeza Play kuitazama Show.

Hili ndiyo jibu la Nay wa Mitego kwa wabaya wake

Nay Wamitego amewajibu watu wanaomchukulia poa.
13166850_1723454604559448_475247523_n

Picha mpya za Ciara na mchumba wake Russell Wilson,AMAZING.


Ciara anaonekana kutojali kabisa hata baada ya mapaparazi kumuandama ajibu maswali kuhusu kushindwa kesi na Ex wake rapa Future na kuwa na muda sawa wa malezi ya mtoto wao Future, CICI anaonekana na mchumba wake Russell Wilson kwenye kiwanja cha ngege cha LAX wakielekea Las Vegas.
12 13

Picha: Ne-Yo aonyesha ukongwe wake katika show ya Jembeka Festival 2016


Msanii wa muziki kutoka Marekani, Ne-Yo ameandika historia ya muziki mkoani Mwanza baada ya kufanya show ya nguvu katika tamasha la Jembeka Festival 2016 lililofanyika Jumamosi hii katika viwanja vya CCM Kirumba Mwanza.
Ne-Yo akifanya yake
Ne-Yo akifanya yake
Muimbaji huyo alipanda jukwaani kwa shangwe na kuanza kuimba nyimbo zake moja hadi nyingine kwa hisia hali ambayo iliibua shangwe kubwa. Pia baada ya kuimba nyimbo zake kadhaa alimwita Diamond jukwaani na kuimba naye wimbo ambao ni kolabo yao inayokuja.
Wasanii wengine ambao waliwapagawisha mashabiki ni, Diamond, Stamina, Nay wa Mitego, Mr Blue, Maua Sama, Ruby, Mo Music, Barakah Da Prince na wasanii wengine. Tazama picha.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo,  Nape Nnauye akibariki show ya Jembeka Festival
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye akibariki show ya Jembeka Festival 2016.
Full shangwe
Full shangwe

Maua Sama

Mkurugenzi wa Jembe FM, Sebastian Ndege akizungumza mawili, matatu kabla ya show kuanza
Mkurugenzi wa Jembe FM, Sebastian Ndege akizungumza mawili, matatu kabla ya show kuanza

Mo Music akiwa na dance wake

Mo Music
Mo Music

Nay wa Mitego
Mr Blue
Mr Blue
Diamond akifanya yake
Diamond akifanya yake
Nay wa Mitego
Nay wa Mitego
Rubby
Ruby

Stamina
Stamina
Stamina
Britony
Britony
4K0A7799
4K0A7806 - Copy
4K0A7807 - Copy
4K0A7808 - Copy
4K0A7809 - Copy
4K0A7810 - Copy
4K0A7494
4K0A7604
4K0A7609
4K0A7702
4K0A7734
4K0A7751
4K0A7754

Sports Picha za mechi ya Man United vs Crystal Palace,walivyopokea kombe la FA.

Klabu ya Manchester United imeshinda kombe la FA Cup kwa mara ya kwanza toka mwaka 2004. Ushindi umeletwa na goli la Jesse Lingard dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Wembley.
Juan Mata alifunga goli la kwanza la Man Untd huku goli la Crystal Palace likifungwa na Puncheon dakika ya 78.
man 1
1 2
SPT_GCK_210516_FA Cup final, 2016 Wembley, Manchester United v Crystal Palace. Picture Graham Chadwick. Singer Tinie Tempah performs as part of the FA Cup final pre-match entertainment

SPT_GCK_210516_FA Cup final, 2016 Wembley, Manchester United v Crystal Palace. Picture Graham Chadwick. Louis Van Gall and Rooney before kick off
3477B17D00000578-3602509-image-a-91_1463851839706 3477B37400000578-3602509-image-a-86_1463851692170 3478B04400000578-3602509-image-a-188_1463859749303 3478B56900000578-3602509-image-a-181_1463859582118 3478B58100000578-3602509-image-a-185_1463859665491 347824B800000578-3602509-Substitute_Jason_Puncheon_celebrates_with_team_mates_after_comin-m-146_1463856105772 3477877A00000578-3602509-image-a-57_1463850180677 3477929F00000578-3602509-image-a-69_1463850695591 3478235C00000578-3602509-image-a-118_1463854686976 3478932D00000578-3602509-image-a-178_1463858098977 3477792900000578-3602509-image-m-63_1463850318371 3478308200000578-3602509-Manchester_United_responded_to_Palace_s_opening_goal_within_minu-a-128_1463855188126 3478316900000578-3602509-image-a-147_1463856128798