Friday, 21 April 2017
Diamond kuandika historia tena
Hatua hiyo imekua ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wake wengi tangu alipoweka hadharani ujio wa biashara hiyo mwezi Novemba mwaka jana.
Kupitia mtandao wa Istagram, Hitmaker huyo wa ‘Marry You’ ametaja siku ya kuingiza sokoni kwa perfume, “The Only Scent you deserve, @chibuperfume by Diamond Platnumz coming out this friday!! #TheScentYouDeserve.”
Endapo hilo litafanikiwa Diamond ataingia kwenye orodha ya mastaa wakubwa duniani walifanikisha kuachia perfume zao kama Nicki Minaj, Beyonce, Diddy, David Beckham na wengine. Hatua hii imepokelewa kama ya kihistoria kwa wengi akiwa ni msanii wa kwanza wa kiume Tanzania kuachia bidhaa ya perfume kupitia brand yake.
New Video: Nicki Minaj, Drake & Lil Wayne – No Frauds
Angalia Maajabu ya Gari hii inauwezo wa kushangaza inatajwa kuwa Gari bora ya mwaka
Angalia Maajabu ya Gari hii inauwezo wa kushangaza inatajwa kuwa Gari bora ya mwaka
New Video: P-Square – Nobody Ugly
Thursday, 13 April 2017
Picha: Hili ni gari la kifahari analomiliki Diamond
Muimbaji huyo ameweka picha za gari hilo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika ujumbe ambao unaonyesha gari hilo ni mali yake.
Kupitia mtandao huo, Diamond ameandika, “Jus decided to get this for my south africa’s up and downs trip…..
“
Saturday, 1 April 2017
VIDEO: Ubunifu wa kiti cha walemavu wa miguu kinachopanda ngazi

Wataalamu hao wamegundua kiti hicho ‘Wheel Chair’ ambacho kina uwezo wa kupanda na kushuka ngazi na kupita sehemu ambazo hazina mtelemko. Kiti hicho kimepewa jina la Scewo chair kinatarajia kuingia sokoni mwishoni mwa mwaka 2018.

Bonyeza Play hapa chini kutazama kiti cha magurudumu chenye uwezo wakupanda ngazi
Video: Skales ft Tekno – Give Me Love
Msanii Skales kutoka Nigeria ambaye aliwahi kufanya vizuri na ngoma ya “Shake Body”, ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Give Me Love”, akiwa kamshirikisha sukari ya warembo Tekno Milles.
Mahakama ya Kenya yazuia kuajiriwa kwa madaktari 500 toka Tanzania
Madaktari hao walienda mahakamani kuizuia serikali ya nchi hiyo kutoa ajira hizo wakidai kuwa kuna madaktari 1,400 wasio na ajira nchini humo. Wamelalamika kuwa itakuwa ni ufujaji wa fedha kuwa na madakrari 500 wa Kitanzania watakaolipwa tshs 360,000 kwa siku. Mahakama ya kazi imetoa agizo hilo Ijumaa jii (March 31), ikisema kuwa litadumu hadi ombi la maofisa wa afya litakaposikilizwa na kuchambuliwa.
“That leave is hereby granted…to quash the decision of the government…to hire foreign doctors to be deployed to Kenya,” zimesema nyaraka za mahakama za March 31.
Mahakama hiyo imetoa siku 21 kwa serikali kuwajibu maofisa hao na suala hilo litatajwa April 19.
Mwezi huu Rais Dkt John Magufuli alisema kuwa Tanzania itapeleka madaktari 500 kukabiliana na uhaba uliopo na tangazo la nafasi hizo lilitolewa kuwataka wenye sifa kutuma maombi. Hata hivyo mpango huo umepingwa vikali na baadhi ya viongozi wa nchini humo akiwemo Raila Odinga, ambaye ni rafiki wa karibu na Rais Magufuli.
Wajue watu kumi wenye akili zaidi duniani
Terrence Tao.
Ni mwanahisabati kutoka Marekani ana kadiriwa kua na iq level ya 230 Terence Tao aliweza kufanya hisabati akiwa na miaka 2 akiwa na miaka 7 tu aliweza kufanya hesabu ngumu za level ya chuo kikuu akiwa na miaka 20 alipata PHD. Mwaka 2006 alishinda medali ya Field na mwaka 2014 alipata tuzo ya Breakthrough prize in mathematics.

2:Christopher Hirata.
Ni mnajimu aliebobea mambo ya anga kwasasa anafanya kazi katika shirika la mambo ya anga la Marekani NASA ana IQ level ya 225, akiwa na miaka 13 alipata tuzo ya mwanahisabati bora wa dunia na kuweza kupata PHD akiwa na umri wa miaka 22.

3:Kim -Um -Young .

Anachukua namba 3 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level 210 mwaka 1990 Kim Ung –yong alishika rekodi ya dunia ya Guiness kwa kua na IQ kubwa ,kiwa na miezi 6 tu Kim Ung-Yong aliku anajua kuongea na alipofikisha miaka 3 tu alikua anaweza kuongea Japanese,Korean ,English and German .
4:Rick Rosner .

watu wengi hawakuamini baada ya Rick Rosner kugundulika kua na IQ level ya 192 kwakua kazi alizokua anafanya hazikuendana na akili yake. Kabla ya kua muandishi wa kipindi cha Jimmy Kimmel Rick Rosner alikua dansa wa club za usiku,model na waiter .
5:Garry Kasaporov.

Garry ana IQ level ya 192 ameweka rekodi ya mchezaji bora wa chess duniani pia ni anajihusisha na Siasa kwa kiasi kikubwa ambapo alitaka kugombea Urais wa Russia dhidi wa Raisi wa sasa Vladmir Putin.
6:Galileo Galilei

Licha ya kua wanasayansi mkubwa aligundua mambo mbalimbali ya anga na hisabati na fizikia Galileo ameshika namba 6 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level ya 185 ,hadi kufikia mwaka 2017 mwanasayansi huyu hajatoka kwenye top ten anajulikana zaidi kwa ugunduzi wake wa umbo la dunia.
7:James Woods .

Ni mcheza filamu wa Marekani ambapo ameshinda tuzo mbalimbali za Academy ana IQ level ya 180 akiwa na umri mdogo Jmaes alikua anaweza kufanya hesbu ngumu licha ya uwezo wake wa mambo ya sayansi Garry aliamua kua mcheza sinema.
8:Judit Polger.

Ni mwanamke pekee aliyeko kwenye list ya watu wenye akili nyingi duniani hadi kufikia mwaka 2017, Judith ana IQ level ya 170 akiwa na miaka 15 tu aliweza kumshinda mshindi wa dunia kwenye mchezo wa chess.
9:Sir Endrew Willes.

Ni mwanahisabati na mkufunzi wa chuo kikuu cha Oxford Marekani ana IQ level ya 170 ,Andrew Wiles aliweza kukokotoa hesabu ngumu zaidi duniani za Fermat’s Last Theorem na mwaka 2016 alishinda tuzo ya Abel Prize .
10:Albert Einstein.

Ukitaja jina la Eistein unamaansiha “Genious” mwanafizikia huyu ameweza kujijengea jina kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya sayansi na mambo ya anga, Einstein ana IQ level ya 160.
Subscribe to:
Posts (Atom)