Monday, 10 July 2017
Diamond Platnumz - ENEKA (Official Video)
This Song was written by Diamond Platnumz & The beat was produced by Laizer Classic from Wasafi Records Tanzania...
diamond Platnumz - Alivyoshtukiza kwenye Harusi ya Professorjay
Rapper na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay’ July 8, 2017
alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Grace ambaye walidumu katika
uchumba kwa miaka 13 ambapo watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na
wasanii walialikwa.
Moja ya mambo yaliyofurahisha katika tukio hilo ni surprise ya mwimbaji staa wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye alitumbuiza…bonyeza PLAY kwenye VIDEO hii kutazama!!!
Moja ya mambo yaliyofurahisha katika tukio hilo ni surprise ya mwimbaji staa wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye alitumbuiza…bonyeza PLAY kwenye VIDEO hii kutazama!!!
Saturday, 24 June 2017
Ben Pol ft Darassa - Tatu (Official Music Video )
Sasa leo Ben Pol ndio ameachia video yake ambayo ni hii unaweza kuitazama hapa chini na kisha ukaacha maoni yako baada ya kuitazama
Thursday, 22 June 2017
VideoMPYA: Diamond Video Mpya
Thursday, 4 May 2017
Sunday, 30 April 2017
Photo:The Lucid Air luxury electric car has reclining rear seats and built-in massage.
The California-based company's EV, which also has an autonomous driving system, has been billed by many as a Tesla "killer" that's more high tech and luxurious than the Model S.
I got a chance to sit — unfortunately, I didn't get to drive or even ride in one on the streets — in the Air at the New York Auto Show and I have to say, it felt more like being in a private jet or in a first-class plane cabin than in a road vehicle.
I should preface this "first look" at the Air by telling you that I sat in a near fully-loaded Lucid Air — that's the more expensive model that'll cost over $100,000 and comes with all the bells and whistles, like a 1,000-horsepower all-wheel drive twin-motor, 400-mile range battery, panoramic glass canopy, leather trims, 21-inch wheels, 29-speaker audio system, two "executive" rear seats that recline up to 55-degrees, and friggin' massage built into the front seats.
While the base Air will cost $52,500 (after federal tax credits), it'll still come with some formidable specs, including a 400-horsepower rear-wheel drive single motor and 240-mile range battery. The base Air's got a few downgrades — an aluminum roof instead of glass, the back seats don't recline, the wheels are smaller 19-inch ones, and the sound system's only got 10 speakers — but I'm told it'll still be pretty roomy.
Image: dustin drankoski/mashable
Right from the start, Lucid Motors crafted the Air to be the most luxurious and spacious electric car.
"[The Tesla Model S] is a great product — a landmark — and I was thrilled to be involved with it, but there are certain things it didn't do," says Peter Rawlinson, Chief Technology Officer at Lucid Motors. Car nerds will recognize Rawlinson as the former Chief Engineer on the Model S.
Compared to the Model S, Rawlinson says the Air uses a special "sculpted battery" to free up space for occupants.
"The [battery] pack bolts under the car just like Tesla, but the Tesla pack is continuous — a simple prism that runs front to rear. What we've done is sculpt the battery back away, particularly around the rear occupant's feet so it's roomier and more comfortable."
Image: LUCID MOTORS
I can confirm the car's interior is very spacious. I almost cried with tears of joy at all the leg room. And while I didn't get to actually recline the rear "executive" seats, they still had a ridiculous amount of personal space.
I've sat in a Model S, and more than enough midsize sedans with many of the extra car option checkboxes ticked off, and I can't think of any that even come close to the amount of comfort the top-of-the-line Air offers.
Image: raymond wong/mashable
Image: RAYMOND WONG/MASHABLE
Image: dustin drankoski/mashable
The Air's got three displays (two of which are touchscreens) where a traditional instrument cluster would normally be. They all looked sharp, and provide all the necessary car information (speed, range, etc.) and controls at a glance. On the left touchscreen, you've got various controls for features like locking the doors, and popping the hood and truck, to name a few. And on the right-most touchscreen, you've got info for navigation, weather, and shortcuts for music and phone access.
Image: raymond wong/mashable
Image: RAYMOND WONG/MASHABLE
Image: dustin drankoski/mashable
"We want to have a natural voice experience, unlike what anyone has managed in the vehicle today — so comparable to an Echo or Siri-like experience," says Derek Jenkins, Vice President of Design at Lucid Motors. "We believe that's ideal for automotive applications. The AI assistant is really about the car learning, over time, your routine, being able to know what your typical routes are, being able to know your schedule, being able to cite conflicts in your schedule, timing discrepancies that come up on your daily commute, etc.. And that becomes a big, big part of it."
Furthermore, the car's got a facial recognition system that'll be able to detect who's in the driver seat and adjust in-car settings accordingly. This was yet another feature I couldn't demo, though.
Image: dustin drankoski/mashable
"Some people will compare us with Tesla because it's a luxury EV in that space, and I can understand that comparison. But what I hate is being described as a Tesla killer, because that's just not representative. We want to take our rightful place [in the luxury car market] which exists worldwide, and it's dominated by the Germans."
When I asked him how much of the Model S influenced the Air — after all, he did work on the Model S — Rawlinson demurred. "Of course you bring knowledge, and experience, but this is really a free-thinking look, and how we can make the next level of electric car, completely uninfluenced by Tesla Model S. This is how we can really take advantage of electrification in a way that product didn't. This is the electric car reimagined from scratch. Uninfluenced."
Impressive as the Lucid Air appears so far, there's still a long ways to go. Lucid only just announced the car's completed its first high speed stability test at 217 mph with a prototype vehicle. The plan right now is to build about some 8,000 Airs for launch in 2019 at a soon-to-be-built factory in Casa Grand
Friday, 21 April 2017
Diamond kuandika historia tena
Hatua hiyo imekua ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wake wengi tangu alipoweka hadharani ujio wa biashara hiyo mwezi Novemba mwaka jana.
Kupitia mtandao wa Istagram, Hitmaker huyo wa ‘Marry You’ ametaja siku ya kuingiza sokoni kwa perfume, “The Only Scent you deserve, @chibuperfume by Diamond Platnumz coming out this friday!! #TheScentYouDeserve.”
Endapo hilo litafanikiwa Diamond ataingia kwenye orodha ya mastaa wakubwa duniani walifanikisha kuachia perfume zao kama Nicki Minaj, Beyonce, Diddy, David Beckham na wengine. Hatua hii imepokelewa kama ya kihistoria kwa wengi akiwa ni msanii wa kwanza wa kiume Tanzania kuachia bidhaa ya perfume kupitia brand yake.
New Video: Nicki Minaj, Drake & Lil Wayne – No Frauds
Angalia Maajabu ya Gari hii inauwezo wa kushangaza inatajwa kuwa Gari bora ya mwaka
Angalia Maajabu ya Gari hii inauwezo wa kushangaza inatajwa kuwa Gari bora ya mwaka
New Video: P-Square – Nobody Ugly
Thursday, 13 April 2017
Picha: Hili ni gari la kifahari analomiliki Diamond
Muimbaji huyo ameweka picha za gari hilo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika ujumbe ambao unaonyesha gari hilo ni mali yake.
Kupitia mtandao huo, Diamond ameandika, “Jus decided to get this for my south africa’s up and downs trip…..
“
Saturday, 1 April 2017
VIDEO: Ubunifu wa kiti cha walemavu wa miguu kinachopanda ngazi

Wataalamu hao wamegundua kiti hicho ‘Wheel Chair’ ambacho kina uwezo wa kupanda na kushuka ngazi na kupita sehemu ambazo hazina mtelemko. Kiti hicho kimepewa jina la Scewo chair kinatarajia kuingia sokoni mwishoni mwa mwaka 2018.

Bonyeza Play hapa chini kutazama kiti cha magurudumu chenye uwezo wakupanda ngazi
Video: Skales ft Tekno – Give Me Love
Msanii Skales kutoka Nigeria ambaye aliwahi kufanya vizuri na ngoma ya “Shake Body”, ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Give Me Love”, akiwa kamshirikisha sukari ya warembo Tekno Milles.
Mahakama ya Kenya yazuia kuajiriwa kwa madaktari 500 toka Tanzania
Madaktari hao walienda mahakamani kuizuia serikali ya nchi hiyo kutoa ajira hizo wakidai kuwa kuna madaktari 1,400 wasio na ajira nchini humo. Wamelalamika kuwa itakuwa ni ufujaji wa fedha kuwa na madakrari 500 wa Kitanzania watakaolipwa tshs 360,000 kwa siku. Mahakama ya kazi imetoa agizo hilo Ijumaa jii (March 31), ikisema kuwa litadumu hadi ombi la maofisa wa afya litakaposikilizwa na kuchambuliwa.
“That leave is hereby granted…to quash the decision of the government…to hire foreign doctors to be deployed to Kenya,” zimesema nyaraka za mahakama za March 31.
Mahakama hiyo imetoa siku 21 kwa serikali kuwajibu maofisa hao na suala hilo litatajwa April 19.
Mwezi huu Rais Dkt John Magufuli alisema kuwa Tanzania itapeleka madaktari 500 kukabiliana na uhaba uliopo na tangazo la nafasi hizo lilitolewa kuwataka wenye sifa kutuma maombi. Hata hivyo mpango huo umepingwa vikali na baadhi ya viongozi wa nchini humo akiwemo Raila Odinga, ambaye ni rafiki wa karibu na Rais Magufuli.
Wajue watu kumi wenye akili zaidi duniani
Terrence Tao.
Ni mwanahisabati kutoka Marekani ana kadiriwa kua na iq level ya 230 Terence Tao aliweza kufanya hisabati akiwa na miaka 2 akiwa na miaka 7 tu aliweza kufanya hesabu ngumu za level ya chuo kikuu akiwa na miaka 20 alipata PHD. Mwaka 2006 alishinda medali ya Field na mwaka 2014 alipata tuzo ya Breakthrough prize in mathematics.

2:Christopher Hirata.
Ni mnajimu aliebobea mambo ya anga kwasasa anafanya kazi katika shirika la mambo ya anga la Marekani NASA ana IQ level ya 225, akiwa na miaka 13 alipata tuzo ya mwanahisabati bora wa dunia na kuweza kupata PHD akiwa na umri wa miaka 22.

3:Kim -Um -Young .

Anachukua namba 3 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level 210 mwaka 1990 Kim Ung –yong alishika rekodi ya dunia ya Guiness kwa kua na IQ kubwa ,kiwa na miezi 6 tu Kim Ung-Yong aliku anajua kuongea na alipofikisha miaka 3 tu alikua anaweza kuongea Japanese,Korean ,English and German .
4:Rick Rosner .

watu wengi hawakuamini baada ya Rick Rosner kugundulika kua na IQ level ya 192 kwakua kazi alizokua anafanya hazikuendana na akili yake. Kabla ya kua muandishi wa kipindi cha Jimmy Kimmel Rick Rosner alikua dansa wa club za usiku,model na waiter .
5:Garry Kasaporov.

Garry ana IQ level ya 192 ameweka rekodi ya mchezaji bora wa chess duniani pia ni anajihusisha na Siasa kwa kiasi kikubwa ambapo alitaka kugombea Urais wa Russia dhidi wa Raisi wa sasa Vladmir Putin.
6:Galileo Galilei

Licha ya kua wanasayansi mkubwa aligundua mambo mbalimbali ya anga na hisabati na fizikia Galileo ameshika namba 6 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level ya 185 ,hadi kufikia mwaka 2017 mwanasayansi huyu hajatoka kwenye top ten anajulikana zaidi kwa ugunduzi wake wa umbo la dunia.
7:James Woods .

Ni mcheza filamu wa Marekani ambapo ameshinda tuzo mbalimbali za Academy ana IQ level ya 180 akiwa na umri mdogo Jmaes alikua anaweza kufanya hesbu ngumu licha ya uwezo wake wa mambo ya sayansi Garry aliamua kua mcheza sinema.
8:Judit Polger.

Ni mwanamke pekee aliyeko kwenye list ya watu wenye akili nyingi duniani hadi kufikia mwaka 2017, Judith ana IQ level ya 170 akiwa na miaka 15 tu aliweza kumshinda mshindi wa dunia kwenye mchezo wa chess.
9:Sir Endrew Willes.

Ni mwanahisabati na mkufunzi wa chuo kikuu cha Oxford Marekani ana IQ level ya 170 ,Andrew Wiles aliweza kukokotoa hesabu ngumu zaidi duniani za Fermat’s Last Theorem na mwaka 2016 alishinda tuzo ya Abel Prize .
10:Albert Einstein.

Ukitaja jina la Eistein unamaansiha “Genious” mwanafizikia huyu ameweza kujijengea jina kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya sayansi na mambo ya anga, Einstein ana IQ level ya 160.
Friday, 17 March 2017
New Video: Harmonize – Niambie
Harmonize ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Niambie’ baada ya kimya cha takribani miezi nane. Jacqueline Wolper ametumika kama model kwenye video hiyo.
Friday, 10 March 2017
Hii video mpya ya Ariana Grande na John Legend ‘Beauty and The Beast’….
Ariana Grande na John Legend wametoa video yao mpya “Beauty and the Beast” ikiwa ni rekodi ya mwaka 1991 waliyofanya upya.
Rekodi hii iliwahi kufanywa na Celine Dion na Peabo Bryson mwaka 1991 na kushinda tuzo mbili za Grammys, Oscar moja na Golden Globe moja.
Filamu mpya iliyoigizwa ya “Beauty and the Beast” ikiwa na mastaa Emma Watson, Dan Stevens,na Ewan McGregorinatoka March
Friday, 3 March 2017
New Video: Timbulo – Mfuasi
Timbulo ameachia video ya wimbo wake Mfuasi. Wimbo umetayarishwa kwa ushirikiano wa Maximizer & Mr. T-Touch huku video ikiongozwa na Dr. Eddie wa Dreamland Music Entertainment ya Nairo
Subscribe to:
Posts (Atom)